funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 39,023 Reaction score 31,539 Aug 23, 2025 #1 Hakika ni moshi wa kijani kwelikweli kwa maslahi ya wapiga kura.
M Makongodcrue JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 1,864 Reaction score 2,584 Aug 23, 2025 #2 funaku said: View attachment 3450126 Hakika ni moshi wa kijani kwelikweli kwa maslahi ya wapiga kura.View attachment 3450126 Click to expand... Wapiga kura wapi tena wakati saiv tuna INEC+NIDA+CCM
funaku said: View attachment 3450126 Hakika ni moshi wa kijani kwelikweli kwa maslahi ya wapiga kura.View attachment 3450126 Click to expand... Wapiga kura wapi tena wakati saiv tuna INEC+NIDA+CCM
hydroxo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2015 Posts 6,146 Reaction score 13,940 Aug 23, 2025 #3 Ndo mnaovutishwa wafuasi wa mboga mboga mpaka mnawehuka.
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,509 Reaction score 45,122 Aug 23, 2025 #4 Yaani mtu unaungamisha database ya wanachama wa CCM, ile ya daftari la kudumu la.wapiga kura na NIDA kweli jmn??
Yaani mtu unaungamisha database ya wanachama wa CCM, ile ya daftari la kudumu la.wapiga kura na NIDA kweli jmn??