Moshi wa bangi ukeni

Moshi wa bangi ukeni

Utakuwa sio mtamu, yan we ni ladhaless na ndo maana ukatafuta tiba mbadala, ulivyoambiwa masuala ya moshi wa bangi ukaona huwezi hiyo, acha visingizio. Endelea kutafuta vyao kudumbukiza humo ndani
we Jinga Kweli huo utamu me nitaujuaje
Nirisk afya yangu kisa mwanaume weee mtasubiria sana
Halafu hasira za kibamia chako usiniletee Tafadhali
Muone dk mwaka akurefushie uendane na dunia
 
we Jinga Kweli huo utamu me nitaujuaje
Nirisk afya yangu kisa mwanaume weee mtasubiria sana
Halafu hasira za kibamia chako usiniletee Tafadhali
Muone dk mwaka akurefushie uendane na dunia

pole bibie, ni pm namba yako nikupoze. Kwan ulishampata au bado una@tafuta?
 
we Jinga Kweli huo utamu me nitaujuaje
Nirisk afya yangu kisa mwanaume weee mtasubiria sana
Halafu hasira za kibamia chako usiniletee Tafadhali
Muone dk mwaka akurefushie uendane na dunia

pole bibie, ni pm namba yako nikupoze. Kwan ulishampata au bado u@natafuta
 
Kati ya vitu vinavyokuwa abused kwenye hii dunia ya uswahilini ni papuchi. Mara waweke bangi, limbwata, ndimu, yoote hayo wanadhani utamu utaongezeka. Upuuzi mtupu na kukosa elimu
 
we Jinga Kweli huo utamu me nitaujuaje
Nirisk afya yangu kisa mwanaume weee mtasubiria sana
Halafu hasira za kibamia chako usiniletee Tafadhali
Muone dk mwaka akurefushie uendane na dunia
Dr Mwaka anawaambia muweke sukari na asali humo ndani, wenzako wameponda ushauri huo wewe unamtetea, pengine kwa sababu we ni mteja wake

Halafu ukaamua kutafuta kilinganishi ambacho ni moshi wa bangi kama ambavyo umesema mnashauriwa ili kumponda huyo mc na kumtetea Dr Mwaka

Hamna cha hasira ya kibamia hapa maana mi sina kibamia, huko ni kutafuta kujifariji tu. Kilichojificha ni kuwa wewe ni mhanga wa kutafuta kuwa mtamu, na kuna uwezekano umeshafuata ushauri wa Dr Mwaka bila mafanikio
 
Dr Mwaka anawaambia muweke sukari na asali humo ndani, wenzako wameponda ushauri huo wewe unamtetea, pengine kwa sababu we ni mteja wake

Halafu ukaamua kutafuta kilinganishi ambacho ni moshi wa bangi kama ambavyo umesema mnashauriwa ili kumponda huyo mc na kumtetea Dr Mwaka

Hamna cha hasira ya kibamia hapa maana mi sina kibamia, huko ni kutafuta kujifariji tu. Kilichojificha ni kuwa wewe ni mhanga wa kutafuta kuwa mtamu, na kuna uwezekano umeshafuata ushauri wa Dr Mwaka bila mafanikio
sina time na we we
Naona umevuta bangi wapi nimemtetea mwaka?
We mzima kweli
 
Dr Mwaka anawaambia muweke sukari na asali humo ndani, wenzako wameponda ushauri huo wewe unamtetea, pengine kwa sababu we ni mteja wake

Halafu ukaamua kutafuta kilinganishi ambacho ni moshi wa bangi kama ambavyo umesema mnashauriwa ili kumponda huyo mc na kumtetea Dr Mwaka

Hamna cha hasira ya kibamia hapa maana mi sina kibamia, huko ni kutafuta kujifariji tu. Kilichojificha ni kuwa wewe ni mhanga wa kutafuta kuwa mtamu, na kuna uwezekano umeshafuata ushauri wa Dr Mwaka bila mafanikio

mkuu mbona umemkaba sana binti wa watu? Kwahyo unataka kuniambia kuwa hana radha kabisa?
 
utamu wa mwanamke hautengenezwi bali mwanamke anazaliwa nao vingine ni kujitunza vizuri tu hasa usafi wa hio sehemu husika
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu
vitu kama sukari asali mchaichai nk.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama mc maarufu hata kwenye matv yupo siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.

Mkuu hadi sasa nacheka🙂
 
Dokta mwaka aje na dawa ya kuwasaidia wanaume wa siku hizi.
Vidushe vinukta alafu wanalalamika mabwawa.



ila tuweni serious kwanini wanaume wengi wa kizazi hiki vidushe kama wamepimiwa kulingana na hela yao?? japo nivitamu lakini tunaovipenda ni wachache tatizo
 
mkuu mbona umemkaba sana binti wa watu? Kwahyo unataka kuniambia kuwa hana radha kabisa?

Mkuu sijamkaba, ukimsoma vizuri katikati ya mistari huyo 'binti wa watu' utagundua kabisa yeye ni wale wasio na ladha.

Ila hamna cha ajabu maana hayupo peke yake, angekuwa peke yake hao watumiaji wa hizo sukari, asali, bangi wasingekuwepo.

Atakasirika maana nagusa penyewe, mwambie pole
 
we Jinga Kweli huo utamu me nitaujuaje
Nirisk afya yangu kisa mwanaume weee mtasubiria sana
Halafu hasira za kibamia chako usiniletee Tafadhali
Muone dk mwaka akurefushie uendane na dunia



hahahahgahahaj uuuuuwi eti hasira za kibami chako na sahivi ndo viko vingi hata wakivaa auruali za kike flaizi sijui haziwabani
 
Ahahahaaaa ops!! (Coloured) natafuta
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom