Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,935
- 4,583
Yaan ni tatizo, Moshi vijijini kunatatizo kubwa Sana. Kunasehemu zinakosa maji ambapo hukutegemea alafu maji yanavula mipaka ya nchi kwenda kenyaunakumbuka barabara iliyoishia mkoring'a ilitakiwa iungane na ya umbwe toka enzi ya kikwete mpaka leo