ngori_kiza
Senior Member
- Sep 27, 2022
- 146
- 182
Kwo ckuiz ukinywa pombe tendo la ndoa huwezi kulifanya kabisa
Acha uongoNaye padri wa kanisa katoliki amesema upatizaji watoto kwenye wilaya hiyo umeshuka kutoka watoto 100 hadi wanane kwa mwaka ,na kuna muda mwingine wanakosa kabisa watoto wa kubatiza!.