Shule hii kwa kweli imetoa mchango mkubwa sana kwa upande wa ufundi na kipindi cha nyuma ilikuwa bora kwelikweli. Most of our Engineers wamepitia hapo.
Nawakumbuka waalimu waliokuwa mashuhuri ennzi hizo: Mpande - vijana, Malisa - Additional Maths, Mwasha - Litreture, Nyanza - Electrical, Orbelin - Biology, Dunia - Geography, Pyuza - History.