Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Hakuhitaji mjadala mkuu. Nilitaka kumjibu huyo alosema tunawajali mababy zaidi ya mama zetu kwamba hata hao baadhi ya mababy ni wakina mama wenye roho mbaya ambao hawataki tuwasaidie mama zetu.Bahati nzuri nina mke mwema anayempenda mama yangu.kumsaidia mama yako kunaitaji mjadala mkuu?
My take: Mjifunze kupendana wanawake roho mbaya na chuki hazijengi. Tunawaheshimu na kuwapenda wakina mama wote.