mchwa mpaka
Member
- Nov 18, 2009
- 35
- 70
NEWS UPDATES
Mwanamke mwingine mkazi wa Kiboriloni katika Manispaa ya Moshi,Sophia Kimaro (28) amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha kilo 12:5 za Mirungi, kosa alilolitenda tarehe 4.12.2014. Alikamatwa eneo la Njoro ya Dobi Moshi akisafirisha mirungi kwenda kuiuza. Hukumu imetolewa na Jaji Amour Khamis akisema ushahidi wa mashahidi 11 unethibitisha shitaka hilo. Hukumu hiyo imekuja siku chache tu baada ya mjane mwenye watoto wanne naye kufungwa maisha kwa kosa kama hilo Jumanne ya wiki iliyopita.
REFERENCE (SOMA HII HAPA CHINI)
Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Bondeni katika Manispaa ya Moshi,Fatuma Mushi mwenye watoto wanne wanaomtegemea, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha Mirungi.
Pamoja na mwanamke huyo, wamo vijana wawili Rashid Rajabu (23) na Hemed Bakari (25) ambao wamefungwa kifungo hicho cha maisha katika hukumu iliyosomwa na Jaji Amour Khamisi juzi mjini Moshi.
Mwanamke mwingine mkazi wa Kiboriloni katika Manispaa ya Moshi,Sophia Kimaro (28) amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha kilo 12:5 za Mirungi, kosa alilolitenda tarehe 4.12.2014. Alikamatwa eneo la Njoro ya Dobi Moshi akisafirisha mirungi kwenda kuiuza. Hukumu imetolewa na Jaji Amour Khamis akisema ushahidi wa mashahidi 11 unethibitisha shitaka hilo. Hukumu hiyo imekuja siku chache tu baada ya mjane mwenye watoto wanne naye kufungwa maisha kwa kosa kama hilo Jumanne ya wiki iliyopita.
REFERENCE (SOMA HII HAPA CHINI)
Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Bondeni katika Manispaa ya Moshi,Fatuma Mushi mwenye watoto wanne wanaomtegemea, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha Mirungi.
Pamoja na mwanamke huyo, wamo vijana wawili Rashid Rajabu (23) na Hemed Bakari (25) ambao wamefungwa kifungo hicho cha maisha katika hukumu iliyosomwa na Jaji Amour Khamisi juzi mjini Moshi.