Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Eww!
Nimeshangaa ...yaani mtu anakutwa na kesi ya uhujumu uchumi anaenda kufagia hospital ila wa mirungi kifungo maishaHukumu haziendani na makosa siasa tu!
Mirungi na jela maisha????
Dar watu walikutwa na cocain wakalipa fine 10M and walk free!!
pole sanaNakumbuka nilishawahi kupigwa laki kwa kesi ya kukutwa na picha tu za hio mirungi, nilikuwa na wana wanachanja wakapiga picha tukiwa geto flani.
The next day nikakumbana na wazee wa ngwasuma wakanityt wakaanza kupekua simu yangu na kukuta zile picha nikiwemo. Walikomaa niseme ile mirax nani ame supply nikawakataa maana ilikuwa msala af kipindi hiko napiga 3rd year wakaniambia tunakupeleka central na ushahidi upo so kwa huu msala huchomoki. Wakanirushia kwenye Cruiser lao.
Tukazozana we mwisho wakataka 200, walikuwa kama mtu 9 hivi wako full gwamba wana mikwasa kama yote nikaona nikifurukuta naweza nikapamba magazeti ya kesho. Nkawamegea 100 wakanitema ila nilipiga nao doria toka saa 5 mpaka saa 11 hivi jioni. Hio kitu siwezi sahau ilinitia stress sana.
Shangaa weweLakini wanaopiga risasi na kuwatishia watu hadharani wapo wanapeta
Haha yani wewe af unancheka eehpole sana
Jamani hapo kwenye doria pamenichekeshaHaha yani wewe af unancheka eeh
Mkuu mahakama pamoja na hukumu zake hapa kwenye huu ulimwengu wa mwisho zipo kwa lengo la kumnyonga mnyonge tu, ukiwa una pesa hata ufanye kosa gani sheria zitaishiwa kuchezewa chezewa mwisho wa siku unaonekana hauna hatia.Nimeshangaa ...yaani mtu anakutwa na kesi ya uhujumu uchumi anaenda kufagia hospital ila wa mirungi kifungo maisha
Nimeshangaa ...yaani mtu anakutwa na kesi ya uhujumu uchumi anaenda kufagia hospital ila wa mirungi kifungo maisha
mwambie mbunge wako Kibajaji , mlinga na msukuma wabadilishe sheria, wao ndio wepo wengi ,Hukumu haziendani na makosa siasa tu!
Mirungi na jela maisha????
Dar watu walikutwa na cocain wakalipa fine 10M and walk free!!
Haya mamaJamani hapo kwenye doria pamenichekesha
mwambie mbunge wako Kibajaji , mlinga na msukuma wabadilishe sheria, wao ndio wepo wengi ,
Sheria ipo wazi na adhabu zipo wazi, siku zikiwakuta ndio mnaanza kujamba jamba, endeleeni tu, sis huku tutawapiga maisha, jua mtalisahau,Mkuu mahakama pamoja na hukumu zake hapa kwenye huu ulimwengu wa mwisho zipo kwa lengo la kumnyonga mnyonge tu, ukiwa una pesa hata ufanye kosa gani sheria zitaishiwa kuchezewa chezewa mwisho wa siku unaonekana hauna hatia.
samahani sana,Ntake RADHI SANA MKUU
UMENIKOSEA SAANA
samahani sana,
inshalaa maana yake nini?Aisee! pole yao,
Sasa hao watoto sijui nani atawaangalia! Mungu ndio mtoa riziki,in sha Allah awasimamie hao watoto ambao kiuhalisia kwa sasa ni kama yatima wasio na baba wala mama.
Ukiamua kuvunja sheria hakikisha una pesa, namaanisha(pesa).Hukumu haziendani na makosa siasa tu!
Mirungi na jela maisha????
Dar watu walikutwa na cocain wakalipa fine 10M and walk free!!
Ukiamua kuvunja sheria hakikisha una pesa, namaanisha(pesa).
Vinginevyo ni huruma kama hivi.