Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,469
Who knowsSaivi ndio umerudi kweli. 😳 We ni jirani yangu nini?
Who knowsSaivi ndio umerudi kweli. 😳 We ni jirani yangu nini?
Labda kisuli suliNipo Moshi kuna upepo unavuma si mchezo anga lote ni vumbi tu na huu upepo unatokea kusini magharibi madhara sijajua ila kwangu macho yashaleta shida.
TMA
Moshi unakula bata sehemu gani..kwani tatizo uje Moshi tule Bata
AdelaMoshi unakula bata sehemu gani..
Yaan ndo basi hom ila daah
Moshi mna Amuz, Red stone kwengineko pa kawaida sana
AbeeAdela

Umesema ukweli dada moshi mm napenda watu kwenye vibaa vya mtaan kuna vibeMoshi unakula bata sehemu gani..
Yaan ndo basi hom ila daah ukiwa bored sehemu za kujirusha ni chache
Sanasana Moshi mna Amuz na Red stone uko kwengineko pa kawaida sana
Hapo red stone huwa napendelea au nishuke bomang'ombe pia sadala hapo Kuna baa ipo hapo barabarani kabia Cute Wife baby wewe tutaenda chemka day tukikutanaMoshi unakula bata sehemu gani..
Yaan ndo basi hom ila daah ukiwa bored sehemu za kujirusha ni chache
Sanasana Moshi mna Amuz na Red stone uko kwengineko pa kawaida sana
Kwa nilivyo nitaishi wap zaidi ya kuishi stend na wahuni tukipiga mishe mishe nipate Ela ya kukuhonga bando sweet mankaau sio?? Moshi sehemu gani? Naona Mungu anataka niolewe na watu wa kaskazini!!! Mpk kitaa wanaume wanaonitaka wa huko kwani kuna shida gani???
Kwa nilivyo nitaishi wap zaidi ya kuishi stend na wahuni tukipiga mishe mishe nipate Ela ya kukuhonga bando sweet manka



Umeaga mashindano au bado unadunda? Toa taarifa mapema maana Wapishi wapo stand byNimepita Boma upepo mkali sana, nimesimama Sadala nahisi hatari mbele, vumbi la kutosha ukileta ujinga unaaga mashindano kijinga.
Nipo salama mkuu, sema wapishi wajiandae tu mbona hapa moshi mjini sijui kama nitatoka salamaUmeaga mashindano au bado unadunda? Toa taarifa mapema maana Wapishi wapo stand by
Yaani Upepo tu mtu anaanzisha thread. Badala ya kujadili vitu vyenye umuhimu kitaifa kama bandari zetu kugawiwa DP world bureee na uwezekano wa watanganyika kurudi utumwani wa mwarabu, mnjadili upepo.
Hahahaaaa😂😂Kuna haja ya serikali kuwahamishia wachaga wote msomera na maeneo hayo yote walikohamishwa wapewe DPworld wajenge mahoteli ya kitalii na bandari kavu.
HongereniHuku Mbeya Tukuyu ni kama Mungu kang'oa koki aisee kuna bonge la mvua tangu jana jioni😢