Kama hujui kitu piga kimya tu! Forex sio ya vilaza inahitaji training ili uweze ku-trade na watz wengi hamtaki kujifunza.Moshi hakunaga fala aisee
Tapeli wewe!akunaga hela za kiraisi hivyo.unawaibia tu watu na unajua hiloKama hujui kitu piga kimya tu! Forex sio ya vilaza inahitaji training ili uweze ku-trade na watz wengi hamtaki kujifunza.
Tapeli wewe.Akunaga hela za kuclick MausiHabari njema kwa wakazi wa Moshi mjini na maeneo ya jirani, tunategemea kuendesha mafunzo ya Forex trading hivi karibuni. Kujiandikisha piga namba hii 0753953260.
Labda trainer ni mchaga mwenzao.Wachaga wanaenda kufundishwa jinsi ya kutafuta pesa. MAAJABU
Sawa mkuu tuwasiliane kwa namba hiyo.Siku na muda wa kufanyika kwa hii training viwekwe wazi tunaobanwa na kazi za maofisini tuweze kufanya timetable adjustments
Mwanza lini?Tucheki kwa namba hiyo hapo juu mkuu.
Tupigie kwa namba hiyo.. Ila inategemea na idadi ya wanafunzi. Wasipungue 20.Mwanza lini?
Kweli eeeh!! Unazungumzia Moshi ipi? Mbona watu wanazidi kujiandikisha..Aisee Arifu Moshi hupati mtu chali angu
Mkuu umejibu kama nani? Au mtu mmoja id tofauti?Ndi
Mkuu
Ndiyo
Ring Leader Huyo Amewanyoosha Sana 😀😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kupigwa kunaendelea?
Arife acheni ubabaishaji tafuteni hela kwa jasho si kufanya vitu vinavyokuja cost watu mbeleni,Hizi network marketing za kuanzia bara asia au kule brazil siyo wazee.Kweli eeeh!! Unazungumzia Moshi ipi? Mbona watu wanazidi kujiandikisha..