Moshi Inatia aibu

Mdutch

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
214
77
Moshi ni mji wenye sifa ya usafi Tanzania. Zaidi ya usafi ni mji wa Mlima Kilimanjaro (The town of Mt Kilimanjaro) hivyo ni mji wa kitalii barani Africa. Pia mji huu uko kwenye mchakato wa kufanywa kuwa jiji na ndio maana umeshaanza kupanuliwa kieneo kwa kuchukua maeneo ya Moshi vijijini kama vile mabogini na Kahe.

Kinachotia aibu ni ifikapo mida ya saa moja usiku mji huu unakua giza totoro mithili ya msitu. Ni aibu kwa wageni wa ndani na nje ya nchi waingiapo ndani ya mji huu wanakumbana na kiza hiki.

Nimefika hapa kwa sherehe za kufunga mwaka na nimeona kuna haja ya CDM wanaoongoza manispaa hii kuufanya mji huu kuwa katika hadhi yake wakatii wa usiku na sio kama ilivyo sasa.
 
Yakhe umekurupuka! ushafika kigoma weye!
Kigoma ni mji wa kitalii. Who cares about kigoma anyway. We care about Moshi kwa sababu unapokea wageni wengi wa kimataifa na hata wa hapa hapa bongo.
 
yeah kuna giza baadhi ya maeneo sa kama unaishi Njoro unatarajia kuona mataa ya barabarani? Hakuna mji kama huo unaotaka kwenye nchi changa kama Tanzania. Kwa taarifa yako CDM wanajipanga kuufanya mji wa Moshi uwe bora kama huamini nenda manispaa kaulizie michakato inayoendelea.
 
Mgao wakati barabarani hakuna milingoti ya security lights? Zilizopo katikati ya mji haziwaki tangu ziwekwe kwa maelezo ya wakazi wa hapa.
Hao wakazi wa hapa ni wakina nani kama sio sisi, NAOMBA UKANUSHE ULICHOKISEMA VINGINEVYO NITAKUSHTAKI.
 
Moshi ni mji wenye sifa ya usafi Tanzania. Zaidi ya usafi ni mji wa Mlima Kilimanjaro (The town of Mt Kilimanjaro) hivyo ni mji wa kitalii barani Africa. Pia mji huu uko kwenye mchakato wa kufanywa kuwa jiji na ndio maana umeshaanza kupanuliwa kieneo kwa kuchukua maeneo ya Moshi vijijini kama vile mabogini na Kahe.

Kinachotia aibu ni ifikapo mida ya saa moja usiku mji huu unakua giza totoro mithili ya msitu. Ni aibu kwa wageni wa ndani na nje ya nchi waingiapo ndani ya mji huu wanakumbana na kiza hiki.

Nimefika hapa kwa sherehe za kufunga mwaka na nimeona kuna haja ya CDM wanaoongoza manispaa hii kuufanya mji huu kuwa katika hadhi yake wakatii wa usiku na sio kama ilivyo sasa.

Ahsante kwa ushauri tupo kazini. Anyway. Happy new year 2012
 
yeah kuna giza baadhi ya maeneo sa kama unaishi Njoro unatarajia kuona mataa ya barabarani? Hakuna mji kama huo unaotaka kwenye nchi changa kama Tanzania. Kwa taarifa yako CDM wanajipanga kuufanya mji wa Moshi uwe bora kama huamini nenda manispaa kaulizie michakato inayoendelea.

It is funny kama main road kuingia mjini kuanzia angalao majengo ni kiza. It is funny kama main road from Arusha angalao kuanzia shule ya karanga, keepleft cha arusha mpaka mawenzi kushuka bank ya NMB ni kiza. It is funny kama bara bara ya KCMC ni kiza totoro. Hizi zote nimekupa coz zinabeba sura ya mji. Njoro na msaranga ni mbali sana kuongelea kwani hizo ni outskirts za Moshi
 
Moshi ni mji wenye sifa ya usafi Tanzania. Zaidi ya usafi ni mji wa Mlima Kilimanjaro (The town of Mt Kilimanjaro) hivyo ni mji wa kitalii barani Africa. Pia mji huu uko kwenye mchakato wa kufanywa kuwa jiji na ndio maana umeshaanza kupanuliwa kieneo kwa kuchukua maeneo ya Moshi vijijini kama vile mabogini na Kahe.

Kinachotia aibu ni ifikapo mida ya saa moja usiku mji huu unakua giza totoro mithili ya msitu. Ni aibu kwa wageni wa ndani na nje ya nchi waingiapo ndani ya mji huu wanakumbana na kiza hiki.

Nimefika hapa kwa sherehe za kufunga mwaka na nimeona kuna haja ya CDM wanaoongoza manispaa hii kuufanya mji huu kuwa katika hadhi yake wakatii wa usiku na sio kama ilivyo sasa.

Wewe ndo mchekeshaji wa mwaka ah ha ah aha haaaa te te te te !! giza wewe umeliona moshi tu, vipi huko dar es salaaaaam hakuna giza maana huko ndo uso wa bongo huko ndo hao wazungu unaowalamba viatu na kuwaita watalii hufikia wanapokuja na madege yao ati, wale wenzetu wa tandika, mbagala, buguruni, g/mboto, kawe, manzese, mikocheni, mabibo, kimara, ubungo na kwingine kwingineko ndani ya dar si lamu hawajawahi kuona taa za mitaani kwenye maeneo yao tangu tanganyika kujitawala, bora hao wa moshi angalu mji wao ni msafi hawajawahi kupata milipuko ya kuhara yaani kile wanachoita sijui kipindi pindi au kipindua *****.
 
Moshi ni mji wenye sifa ya usafi Tanzania. Zaidi ya usafi ni mji wa Mlima Kilimanjaro (The town of Mt Kilimanjaro) hivyo ni mji wa kitalii barani Africa. Pia mji huu uko kwenye mchakato wa kufanywa kuwa jiji na ndio maana umeshaanza kupanuliwa kieneo kwa kuchukua maeneo ya Moshi vijijini kama vile mabogini na Kahe.

Kinachotia aibu ni ifikapo mida ya saa moja usiku mji huu unakua giza totoro mithili ya msitu. Ni aibu kwa wageni wa ndani na nje ya nchi waingiapo ndani ya mji huu wanakumbana na kiza hiki.

Nimefika hapa kwa sherehe za kufunga mwaka na nimeona kuna haja ya CDM wanaoongoza manispaa hii kuufanya mji huu kuwa katika hadhi yake wakatii wa usiku na sio kama ilivyo sasa.

Nahsi wewe uko Same hivyo njoo mjini Moshi tukupokee!
 
wewe muongo kwa sababu.
1. mgao uko nchi nzima hivo giza sio la moshi peke yake.
2. taa za barabarani zote zinawaka labda moja kati ya kumi ndio zitakuwa na hitilafu.
3. taa zimewekwa kwenye barabara za lami tuu na ni double road, mawenzi road na boam road huko majengo hakuna taa.
4. Chadema haina serikali bali hutegemea mapato madogo ya halmashauri kuboresha mji.
5. moshi ccm inatamani pawe jehanamu sema wanashindwa zaidi ya kufunga viwanda na kuviuza kwa watu wasioweza kuviendeleza

my take fanya uchunguzi kabla ya kukurupuka kwani nimetoka ymca mpaka mbuyuni now na taa zote zinawaka na hakuna mgao sasa hivi wewe hizi habari umepata wapi???

asante kwa ushauri japo una walakini
 
Lol uko moshi ipi
weye? Au umetandika
vitochi huon mbele?
Kwanza huko we ni
mgeni ? Mzawa?
Au umeagizwa kumpima
ndesa? Kwa taarifa yako
mpaka ms vijijini umeme
unawaka,kwetu pale lembeni ni full tamesco


na kinacholushangaza
nini hii nji ipo kwenye
janga hili la umeme
umeiona moshi tu ndo
kuna giza?hebu leta
habar nyngne swala
la umeme nji hii usiliseme kabsaaaaaaa
unatutia hasira tu
manake wengne majokof yetu
tumegeuza kabati
baada ya kuungua
kwa hitilaf zao hawa tanesco
 
Sasa umesema unakaribia kuwa jiji! Subiri uwe jiji halafu ndo umwage maneno hapa! Cha nini kujitafutia misifa kwa wageni, wakiondoka unatoa machozi. Waonyeshe mlima ukimaliza wapeleke Dar,Mwanza, Arusha wakaone Taa zinavyowaka.
 
Back
Top Bottom