HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,911
- 6,591
Shasikiaga kama tetesi nikajua uzushi. .kumbe ana maanisha!!!!!!
Yupo BOT now
Jamaa ni TISS kwa sasa.
Mmenye we huchui fomu...
Haaaa Mmenye 2020 Insha Allah,Nachukua Kilosa.
Haya kaka...
Hadi sasa nishaona raia wawili wa kimenye wamechukua fomu...
So you have decided to descend this low? Huku ni kukosa hoja. Kwani mzee Mwiza ndio ameomba kugombea?Mtoto wa Askofu Nabii & Mtume Mwizarubi baada ya Baba yake kuchota fedha za kutosha za wana kondoo
kijana anataka kutoka kivingine haaa haaa.
Bill Gates angechagua fani ya baba yake angekuwa alipo? Au hata wewe mwenyewe mbona hukuchagua fani ya Baba yako? Ungekuwa far better maana baba yako si mpika majungu JF.Nakushauri bora ungechagua fani ya Baba yako pengine ungetoka kimaisha kuliko siasa za Arusha utaangukia pua bureeeeee.
Jamaa ni TISS kwa sasa.
acheni umbea,huyu jamaa anafundisha IAA.