Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 587
- 1,386
- Thread starter
- #21
Mkuu kwanza nikusahihishe kuwa KGB ilishaondoka kitambo sana! Sasahivi Urusi shirika la kijasusi linaitwa FSB.
Pili naomba nikuambie bado FSB ni Imara sana, karibia nchi zote za Ulaya mashirika yao ya kijasusi yanafanya kazi kuisaidia Ukraine, majeshi yao yanafanya kazi kuisaidia Ukraine, kwa maaana mtambuka tuseme tu Urusi anapiga na mataifa zaidi ya 30 pale Ukraine.
Kukuthibitishia ilo nakukumbusha kuwa kuna Mkurugenzi wa idara ya Usalama aliondolewa kwasababu hakuwa anajua kama Urusi itaivamia Ukraine, Operation ya Urusi nchini Ukraine kwa Upande wa Ukraine CIA ndo inafanyakazi kubwa sana kwa kushirikiana na mashirika mengine a Uingereza, Germany, Canada, Poland nk pia jua kabisa 80% ya mashambulizi ambayo yalifanikiwa kwa upande wa Ukraine yanaratibiwa Pentagon.
Licha ya korabo hiyo anayofanyiwa URUSI lakini bado Urusi ameendelea kusonga mbele kwa kukama zaidi ya 30% ya Taifa la Ukraine.
Kinachoibeba Urusi ni wingi wa Siraha ambazo zilianza kutengenezwa na kukusanywa tangia Stalin yupo madarakani kujiandaa kwa ww3, na Zilitengenezwa na nchi za Ulaya Mashariki yote ziliifadhiwa nyingi tu Urusi mfano Viwanda vya awali vya kutengenezea vifaru vilitolewa Ukraine vikapelekwa Urusi na pia makombora ya Nyuklia zikiwemo
FSB imezaliwa na maafisa walewale wa KGB na mbinu zao ktika Intelejensia na kuua wapinzani wao nchi za magharibi.