Moscow na Tehran zinapokuwa sio Salama tena

Pearce

JF-Expert Member
Dec 15, 2018
577
1,381
Ndipo inafahamika tu CIA na MOSSAD nadhani ndio tasisi za Intelejensia zenye nguvu kwasasa Duniani

KGB imepambwa sana

Tunaona siraha za West ambazo zimeingizwa Ukraine na impact yake kubwa katika vita hiyo HIMARAS na JAVERIN

Wakati tumeona siraha za Urusi ambazo bwana Putin alizipamba sana kwenye hotuba zake ikiwemo Hypersonic Missile, Thermobaric bombs, kifaru cha T-90 na mitambo ya S-300 hadi s-400 ambazo havijatoa matokeo wengi walitarajia

Sasa hapo hazijaanza kuingia vitani Stealth, F-35 na siraha nyingie za NATO

Kibaya tiyari vita imeanza kupiganiwa tiyari kwenye viunga vya Moscow na Putin ameanza kuzoea maisha ya kwenye handaki pale Kremlin. (Nikirejea Hujuma kuanzia viwanda vya Kemikali vya Urusi na tasisi ya tafiti za missiles, bila kusahau kifo cha binti wa Propagandist wa Putin kwa bomu)

Urusi akajipange kakulupuka vita hii( ni sawa na mtu mzima aliekosa busara anaetaka kuheshimiwa sababu ya ndevu lakini mwishoni dogo kagundua udhaifu wa mtu mzima huyo ana ugonjwa wa busha, kwahiyo kadili anavypoleka makofi kwa hasira dogo nae anamjambisha hadharani mbele za watu)

Kwa udhamini: wa Na log z na warusi wa viunga vya Buza, Kiwalani, Tandika na Buguruni kwa mnyamani

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ndipo inafahamika tu CIA na MOSSAD nadhani ndio tasisi za Intelejensia zenye nguvu kwasasa Duniani

KGB imepambwa sana

Tunaona siraha za West ambazo zimeingizwa Ukraine na impact yake kubwa katika vita hiyo HIMARAS na JAVERIN

Wakati tumeona siraha za Urusi ambazo bwana Putin alizipamba sana kwenye hotuba zake ikiwemo Hypersonic Missile, Thermobaric bombs, kifaru cha T-90 na mitambo ya S-300 hadi s-400 ambazo havijatoa matokeo wengi walitarajia

Sasa hapo hazijaanza kuingia vitani Stealth, F-35 na siraha nyingie za NATO

Kibaya tiyari vita imeanza kupiganiwa tiyari kwenye viunga vya Moscow na Putin ameanza kuzoea maisha ya kwenye handaki pale Kremlin. (Nikirejea Hujuma kuanzia viwanda vya Kemikali vya Urusi na tasisi ya tafiti za missiles, bila kusahau kifo cha binti wa Propagandist wa Putin kwa bomu)

Urusi akajipange kakulupuka vita hii( ni sawa na mtu mzima aliekosa busara anaetaka kuheshimiwa sababu ya ndevu lakini mwishoni dogo kagundua udhaifu wa mtu mzima huyo ana ugonjwa wa busha, kwahiyo kadili anavypoleka makofi kwa hasira dogo nae anamjambisha hadharani mbele za watu)

Kwa udhamini: wa Na log z na warusi wa viunga vya Buza, Kiwalani, Tandika na Buguruni kwa mnyamani

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Dah.
 
Movie zinakudanganya wewe kumbuka hii ni small operation eti CIA na MOSSAD? awa watazionea nchi ndogo ndogo zisikuwa na tech inteligency kubwa lakini siyo kwa Russia, Mossad awa awa wanaotuomba ruhusa sisi wakitaka kupitisha ndege zao kwenye anga la syria? waziri mkuu wao aliyepita netanyau ilikuwa kila mwezi lazima aje moscow kuja kujikomba komba.
 
Ndipo inafahamika tu CIA na MOSSAD nadhani ndio tasisi za Intelejensia zenye nguvu kwasasa Duniani

KGB imepambwa sana

Tunaona siraha za West ambazo zimeingizwa Ukraine na impact yake kubwa katika vita hiyo HIMARAS na JAVERIN

Wakati tumeona siraha za Urusi ambazo bwana Putin alizipamba sana kwenye hotuba zake ikiwemo Hypersonic Missile, Thermobaric bombs, kifaru cha T-90 na mitambo ya S-300 hadi s-400 ambazo havijatoa matokeo wengi walitarajia

Sasa hapo hazijaanza kuingia vitani Stealth, F-35 na siraha nyingie za NATO

Kibaya tiyari vita imeanza kupiganiwa tiyari kwenye viunga vya Moscow na Putin ameanza kuzoea maisha ya kwenye handaki pale Kremlin. (Nikirejea Hujuma kuanzia viwanda vya Kemikali vya Urusi na tasisi ya tafiti za missiles, bila kusahau kifo cha binti wa Propagandist wa Putin kwa bomu)

Urusi akajipange kakulupuka vita hii( ni sawa na mtu mzima aliekosa busara anaetaka kuheshimiwa sababu ya ndevu lakini mwishoni dogo kagundua udhaifu wa mtu mzima huyo ana ugonjwa wa busha, kwahiyo kadili anavypoleka makofi kwa hasira dogo nae anamjambisha hadharani mbele za watu)

Kwa udhamini: wa Na log z na warusi wa viunga vya Buza, Kiwalani, Tandika na Buguruni kwa mnyamani

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza nikusahihishe kuwa KGB ilishaondoka kitambo sana! Sasahivi Urusi shirika la kijasusi linaitwa FSB.

Pili naomba nikuambie bado FSB ni Imara sana, karibia nchi zote za Ulaya mashirika yao ya kijasusi yanafanya kazi kuisaidia Ukraine, majeshi yao yanafanya kazi kuisaidia Ukraine, kwa maaana mtambuka tuseme tu Urusi anapiga na mataifa zaidi ya 30 pale Ukraine.


Kukuthibitishia ilo nakukumbusha kuwa kuna Mkurugenzi wa idara ya Usalama aliondolewa kwasababu hakuwa anajua kama Urusi itaivamia Ukraine, Operation ya Urusi nchini Ukraine kwa Upande wa Ukraine CIA ndo inafanyakazi kubwa sana kwa kushirikiana na mashirika mengine a Uingereza, Germany, Canada, Poland nk pia jua kabisa 80% ya mashambulizi ambayo yalifanikiwa kwa upande wa Ukraine yanaratibiwa Pentagon.

Licha ya korabo hiyo anayofanyiwa URUSI lakini bado Urusi ameendelea kusonga mbele kwa kukama zaidi ya 30% ya Taifa la Ukraine.
 
Movie zinakudanganya wewe kumbuka hii ni small operation eti CIA na MOSSAD? awa watazionea nchi ndogo ndogo zisikuwa na tech inteligency kubwa lakini siyo kwa Russia, Mossad awa awa wanaotuomba ruhusa sisi wakitaka kupitisha ndege zao kwenye anga la syria? waziri mkuu wao aliyepita netanyau ilikuwa kila mwezi lazima aje moscow kuja kujikomba komba.
Wewe ni Mrusi wa Igunga au Sherui

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Movie zinakudanganya wewe kumbuka hii ni small operation eti CIA na MOSSAD? awa watazionea nchi ndogo ndogo zisikuwa na tech inteligency kubwa lakini siyo kwa Russia, Mossad awa awa wanaotuomba ruhusa sisi wakitaka kupitisha ndege zao kwenye anga la syria? waziri mkuu wao aliyepita netanyau ilikuwa kila mwezi lazima aje moscow kuja kujikomba komba.
Labda Kinondoni Moskow kiunga cha warusi wa Tozonia......anaenda kufanya nini wakati Oligarchy na wayahudi ktk hiyo Serikali
 
Back
Top Bottom