Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,126
- 9,666
Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huu😆😆😆
Ile nukuu ya manara .?Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huu😆😆😆View attachment 2293251View attachment 2293252
Anajua baadhi ya maneno na anaongea kwa ufasaha tu kiswahiliTangu lini morrison ajue kiswahili, hapo account yake ipo kwa graphic designers wa mabingwa ndio wameandika hivyo ili kuweka picha yake
Kuna siku nilikuwa nafuatilia kipindi flan clouds tv kwenye mahadhimisho ya kiswahili waliweka compilation morison akiongea kiswahili na akasema mkude humfundishag matusiTangu lini morrison ajue kiswahili, hapo account yake ipo kwa graphic designers wa mabingwa ndio wameandika hivyo ili kuweka picha yake
Hapo hujaelewa kitu gani? Anamaanisha kwamba nayeye ana picha na Rais post ili tuwaumize, akamaliza kwa kuuliza sisi tuna nn? Unamalizia kwa kusema sisi tuna watu.Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huuView attachment 2293251View attachment 2293252
Ni kama vile wamepanga kati ya admin na MorrisonHapo hujaelewa kitu gani? Anamaanisha kwamba nayeye ana picha na Rais post ili tuwaumize, akamaliza kwa kuuliza sisi tuna nn? Unamalizia kwa kusema sisi tuna watu.
Hiyo ndiyo tafsiri yake mzee.
Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huuView attachment 2293251View attachment 2293252


Mbumbumbu fc wamekua kama wehu, K Aziz amewachanganya sana.




Hapo hujaelewa kitu gani? Anamaanisha kwamba nayeye ana picha na Rais post ili tuwaumize, akamaliza kwa kuuliza sisi tuna nn? Unamalizia kwa kusema sisi tuna watu.
Hiyo ndiyo tafsiri yake mzee.


Hapo hujaelewa kitu gani? Anamaanisha kwamba nayeye ana picha na Rais post ili tuwaumize, akamaliza kwa kuuliza sisi tuna nn? Unamalizia kwa kusema sisi tuna watu.
Hiyo ndiyo tafsiri yake mzee.







