imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,045
Umefanya utafiti?Hauambukizi, ni ugonjwa unaoathiri nerves, ndio maana sehemu zilizoathirika na ukoma huwa hazipati maumivu
Umefanya utafiti?Hauambukizi, ni ugonjwa unaoathiri nerves, ndio maana sehemu zilizoathirika na ukoma huwa hazipati maumivu
Ndio maana kuna utaratibu wa kutangaza mambo kama haya.Jina la aliyechoma limehifadhiwa ila la aliyekufa latajwa .
Sielewielewe utaratibu
Unaona sasa mistakes hapo!!!Hizi sio enzi za RPC kusubiri aletewe taarifa mezani, Kamanda jiangalie ndugu yetu!!
The bacterium Mycobacterium leprae causes leprosy. It's thought that leprosy spreads through contact with the mucosal secretions of a person with the infection. This usually occurs when a person with leprosy sneezes or coughs. The disease isn't highly contagious.Hauambukizi, ni ugonjwa unaoathiri nerves, ndio maana sehemu zilizoathirika na ukoma huwa hazipati maumivu
Mkuu wengine huanzia na maungio ya kiume.Visu mbona vingi hospitali labda ungeuliza huyo mkoma aliwezaje kushika kisu wakati tujuavyo ukoma huanza na vidole
Pitia pitia hata google mkuu utapata majibu, nilichokiandika ndicho na ni taaluma yangu pia sijabahatishaUmefanya utafiti?
Bora corona aisee!Mkuu wengine huanzia na maungio ya kiume.
Everyday is Saturday...............................
Hiki kitu kilishadhibitiwa mkuu ndio maana unaona watu wa ukoma mnakutana kwenye mikusanyiko na hakuna maambukizi mapya yanayotangazwaThe bacterium Mycobacterium leprae causes leprosy. It's thought that leprosy spreads through contact with the mucosal secretions of a person with the infection. This usually occurs when a person with leprosy sneezes or coughs. The disease isn't highly contagious.
Kama ni taaluma yako si utufafanulie ili wanajf Wenzetu wajue namna ya kujilinda na hilo gonjwaPitia pitia hata google mkuu utapata majibu, nilichokiandika ndicho na ni taaluma yangu pia sijabahatisha
Sasa fafanua zaidi Maana kuna matapeli wa fani za watu humuHiki kitu kilishadhibitiwa mkuu ndio maana unaona watu wa ukoma mnakutana kwenye mikusanyiko na hakuna maambukizi mapya yanayotangazwa
Unakosea sanaNdio maana kuna utaratibu wa kutangaza mambo kama haya.