Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,715
- 20,472
Dunia kijiji, ukijifungia ndani masaa mawili tu unaweza kupokea taarifa ya tukio la jirani yako kutoka kwa mtu aliyepo MtwaraMbona hii imenipita na nipo Ifakara
Dunia kijiji, ukijifungia ndani masaa mawili tu unaweza kupokea taarifa ya tukio la jirani yako kutoka kwa mtu aliyepo MtwaraMbona hii imenipita na nipo Ifakara
Ni kweli nami nilitaka niandike hilo hawa watu hasira huwa zinapanda ghafla pasipo na sababu. Mwandishi wa habari na mhariri hawajaitendea haki kalamu sijui ndio ukanjanja wenyeweHalafu nasikia you ugonjwa huwa unamfanya muathirika awe na hasira za ghafla sana
Inawezekana alipopata hilo akaanza kutafuta ukweli kwa Kamanda wa Wilaya, ila kabla hajaupata, mwandishi akaona siku isipite bila kuirusha habari.Ukisoma vzr utagundua kuwa baada ya kuqmbiwa hakutake any initiatives kutafuta ukweli wa taarifa hiyo, nilidhani baada ya kupata hiyo tip angepiga simu kujua ukweli na angejibu mwandishi kuwa ameelezwa kwa kifupi na kweli kwamba kuna hicho kifo lkn atatolea taarifa kamili baadae.... hiyo ndio namna nzur ya ku deal na media boss wangu!!
Si umeambiwa ametokea Bagamoyo! Labda wanahofia watu watalinganisha majina!! Unakuta aliye uwawa ni Sister Agatha, halafu muuaji ni wa kutoka ule upande wa pili wa Dini ya Haki!!Jina la aliyechoma limehifadhiwa ila la aliyekufa latajwa .
Sielewielewe utaratibu
Unafikiri yeye anatakiwa kuwa salama zaidi kuliko sisi??Ni kwa ajili ya usalama wake mkuu
Mbona hakuna umeme tangu juzi na hujui hilo?Mbona hii imenipita na nipo Ifakara
Najua tu kuhusu umeme maana nipo karibu na hospitaliMbona hakuna umeme tangu juzi na hujui hilo?
Kwamba RPC anatakiwa awepo physically ktk kila tukioHizi sio enzi za RPC kusubiri aletewe taarifa mezani....Kamanda jiangalie ndugu yetu!!
Nipo karibu kabisa na hicho kituo🧐Ifakara kubwa Bwashee!! Vipi kama unakaa Kining'ina au Lungongole!! Utayafahamu ya kule kwenye kile kituo cha Wakoma kweli?
Ni jukumu langu kunyatia🧐Kwamba hiyo Ifakara ni kamtaa tu kadogo?
Chanzo cha huu ugonjwa hua ni nini Mkuu?Halafu nasikia you ugonjwa huwa unamfanya muathirika awe na hasira za ghafla sana
Nadhani leprosy inasababishwa na bacteria na inaambukizaChanzo cha huu ugonjwa hua ni nini Mkuu?
Mimi kuna askari Fulani
Hauambukizi, ni ugonjwa unaoathiri nerves, ndio maana sehemu zilizoathirika na ukoma huwa hazipati maumivuNadhani leprosy inasababishwa na bacteria na inaambukiza
Ndio maana watu wa zamani ilikuwa wakikushtukia kuwa ina Ukoma walikuwa wanakutenga wewe na familia yako ilikuwa hata kuoa kwako hawaji