kwa mtazamo wangu huyo hatofaa..nadhani hapa jf kuna mtu alimdescribe kijana mmoja msomi ambaye description zake zilikua convincing kua anafaa..kwamtazamo wangu huyo hafai kabisa japo anahaki kikatiba
Huyu kwakweli nooooooooo...
ameweza sugu kwakua anaelewa nn anafanya sasa sio kila msanii aone nae anaweza. Huyu hapana kwakweli abaki tu mwanachama na asaidie kuhamasisha inatosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.