MPANDA Jr
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,295
- 157
Waswahili husema "Unaweza kuwadanganya watu mara nyingi, lakini siyo siku zote". Usemi huu umajithibitisha jana ndani ya Manispaa ya Morogoro baada ya Makamanda wa CHADEMA kuvamia mji huu na kuvuruga kabisa hali ya hewa ya Chama Cha Mapinduzi.
Kamanda HYNESS SAMSON KIWIA wa Ilemela akiongozwa na Jemedari SUZAN LIMBWENI KIWANGA yule wanayemzushia kuwa alimtia kizuizini DC wa Igunga.
Kulikuwa na Semina ya katiba ndani ya B-Z Hotel, Pipo kama 500 zilihudhuria na baadaye jioni BONGE la Mkutano. Mzee wa mabasi mekundu Abuhood nusura ajivue Gamba.
Kamanda HYNESS SAMSON KIWIA wa Ilemela akiongozwa na Jemedari SUZAN LIMBWENI KIWANGA yule wanayemzushia kuwa alimtia kizuizini DC wa Igunga.
Kulikuwa na Semina ya katiba ndani ya B-Z Hotel, Pipo kama 500 zilihudhuria na baadaye jioni BONGE la Mkutano. Mzee wa mabasi mekundu Abuhood nusura ajivue Gamba.