Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Dar Lux Higer ya kutoka Bukoba imepata ajali maeneo ya Morogoro muda wa Saa Kumi alfajiri, hakuna madhara kwa abiria bali chombo husika
Ila Chalinze sio MorogoroMorogoro once again,unatembea mkoa mmoja masaa karibu 4 hujaumaliza ,dereva anaamua kufumba macho,Gairo to Chalinze ni parefu kiasi
Ila hii ya kuendesha usiku jamani ifikiriwe mara 2