Morocco imeingia mkataba na Marekani kununua Helicopter 24 za mashambulizi aina ya Boeing AH64E Apache

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,549
6,102
Morocco imeingia mkataba na Marekani kununua Helicopter 24 za mashambulizi aina ya Boeing AH64E Apache ambazo wataanza kukabidhiwa mwaka 2024.

Hadi sasa Apache imeuzwa katika nchi 17 Ulimwenguni.

Jeshi la India pia limekabidhiwa 'Helicopter' zake za mwisho 05 za aina hiyo na kukamilisha jumla ya 22 alizoagiza.
Pia India ilikabidhiwa 'Helicopter' zake za mwisho 05 za kijeshi aina ya 'Boeing' #UH47 Chinook mwaka huu na kukamilisha jumla ya 15 alizoagiza.

Imeripotiwa na: www flightglobal.com

Picha kwa hisani ya mtandao.

FB_IMG_1594786016073.jpg
FB_IMG_1594786024869.jpg

Naomba kujulishwa kuhusu uwezo wa hizi ndege zina maajabu gani mpaka Marekani kuziuza kwa nadra kiasi hicho?

Uwezo wake katika uwanja wa kivita ukoje?
 
Ukiwauzia nchi nyingine silaha nyingi si inamaana unawapa nguvu zaidi pengime wakaja kukusumbua wewe mwenyewe uliewauzia?

Sasa ndio formula hiyo kwa hapo

Silaha zinauzwa kwa uangalifu na pia huku mabunge ya nchi husika zinaouza silaha yakihusika kupitisha mauzo hayo
 
Ukiwauzia nchi nyingine silaha nyingi si inamaana unawapa nguvu zaidi pengime wakaja kukusumbua wewe mwenyewe uliewauzia?

Sasa ndio formula hiyo kwa hapo

Silaha zinauzwa kwa uangalifu na pia huku mabunge ya nchi husika zinaouza silaha yakihusika kupitisha mauzo hayo
Hakuna kitu kama hiki katika mauzo ya silaha. Huwezi kuuziwa silaha kisha ukawa na nguvu kuliko aliyekuuzia hata siku moja. Utakuwa unamtegemea kwenye spare parts na maintenance. Pia upgrade na training.
Kinachofanya siziuzike sana ni gharama kubwa zilizonazo na pia kuwepo na mbadala wake. Kuna Mi-24 Hind, Mi-28 Havoc, Mi-35 Hind E na Ka-52 Alligator za Russia zinaweza kuwa mbadala wa AH-64 Apache ingawa hazifanani kwa performance.
Pia US wana tabia ya kuwa na kiherehere wakikuuzia silaha, wanaweza taka utoe maelezo ukitaka kuzitumia au kukunyima spare parts ukiwa vitani. Na si kila nchi inamuamini US katika hilo maana ushahidi upo.
 
Apache zina performance nzuri sana na rekodi ya uwezo wake ipo tangu Gulf war, vita ya Iraq mwaka 2003 na operations za Afghanistan dhidi ya Taleban/Taliban. Ziko na sensors nyingi na uwezo mkubwa wa kushambulia usiku na kwenye hali mbaya ya hewa. Zina speed ya kutosha na uwezo wa kuhimili mashambulizi kwa kiasi chake. Uwezo wake wa kushambulia silaha kama vifaru au convoy zozote ardhini ni mzuri kabisa.

Pia zinaweza kubeba air to air missiles chache ziweze kujilinda dhidi ya helicopters au fighters. India wana haki ya kuzinunua maana China wakorofi na mpaka wao una milima hivyo kushambulia ardhini kwa helicopter hakukwepeki. Morocco sijui kwa nini wameamua hivyo, walikuwa na options kadhaa kwa maana hawana maadui advanced.

Chinook zipo vizuri kwenye kubeba mizigo na wanajeshi. Zina performance nzuri sana angani na experience inaonesha hivyo. Zinabeba mzigo mzito na hazina upinzani kwenye hilo. Ni heavy lift helicopter yenye kuweza kuingia front line.
India itazitumia kubeba silaha za haraka kama artillery guns na anti-tank weapons kama wakivamiwa na China, mpaka wao wa Ladakh ni milima mizito mkitembea kuwa magari mtakesha na mashambulizi hayawapi muda wa kusubiri.

Mpinzani wa karibu wa Apache ni Kamov Ka-52 ambayo hata hivyo haijaonekana kwenye mapigano, hivyo Wahindi labda walitaka kitu wenye uhakika nacho. Pia performance za kwenye karatasi Apache inaizidi Ka-52.
Chinook haina upinzani kwenye heavy lifting. Mil Mi-26 ya Russia ndo inabeba tani nyingi zaidi lakini haifai kuingia front line, inafaa kubeba mizigo kupeleka kambini.
 
Sasa unafikiri watauziwa kilicho bora na kil
Ukiwauzia nchi nyingine silaha nyingi si inamaana unawapa nguvu zaidi pengime wakaja kukusumbua wewe mwenyewe uliewauzia?

Sasa ndio formula hiyo kwa hapo

Silaha zinauzwa kwa uangalifu na pia huku mabunge ya nchi husika zinaouza silaha yakihusika kupitisha mauzo hayo
[/QUOTE
Sasa unafikiri watauziwa kilicho bora kufananisha au zaidi ya kile anachokitumia yeye mwenyewe?
NEVER EVER
 
Apache zina performance nzuri sana na rekodi ya uwezo wake ipo tangu Gulf war, vita ya Iraq mwaka 2003 na operations za Afghanistan dhidi ya Taleban/Taliban. Ziko na sensors nyingi na uwezo mkubwa wa kushambulia usiku na kwenye hali mbaya ya hewa. Zina speed ya kutosha na uwezo wa kuhimili mashambulizi kwa kiasi chake. Uwezo wake wa kushambulia silaha kama vifaru au convoy zozote ardhini ni mzuri kabisa.

Pia zinaweza kubeba air to air missiles chache ziweze kujilinda dhidi ya helicopters au fighters. India wana haki ya kuzinunua maana China wakorofi na mpaka wao una milima hivyo kushambulia ardhini kwa helicopter hakukwepeki. Morocco sijui kwa nini wameamua hivyo, walikuwa na options kadhaa kwa maana hawana maadui advanced.

Chinook zipo vizuri kwenye kubeba mizigo na wanajeshi. Zina performance nzuri sana angani na experience inaonesha hivyo. Zinabeba mzigo mzito na hazina upinzani kwenye hilo. Ni heavy lift helicopter yenye kuweza kuingia front line.
India itazitumia kubeba silaha za haraka kama artillery guns na anti-tank weapons kama wakivamiwa na China, mpaka wao wa Ladakh ni milima mizito mkitembea kuwa magari mtakesha na mashambulizi hayawapi muda wa kusubiri.

Mpinzani wa karibu wa Apache ni Kamov Ka-52 ambayo hata hivyo haijaonekana kwenye mapigano, hivyo Wahindi labda walitaka kitu wenye uhakika nacho. Pia performance za kwenye karatasi Apache inaizidi Ka-52.
Chinook haina upinzani kwenye heavy lifting. Mil Mi-26 ya Russia ndo inabeba tani nyingi zaidi lakini haifai kuingia front line, inafaa kubeba mizigo kupeleka kambini.

Sasa muhindi atamshindia mchina kwenye chopper ?

Mchina unamjua au unamsikia?

Vietnam,Korea kusini na hata huyo India wameshawahi kutembezewa kichapo na Mchina baada ya vita ya pili ya dunia
 
Hakuna kitu kama hiki katika mauzo ya silaha. Huwezi kuuziwa silaha kisha ukawa na nguvu kuliko aliyekuuzia hata siku moja. Utakuwa unamtegemea kwenye spare parts na maintenance. Pia upgrade na training.
Kinachofanya siziuzike sana ni gharama kubwa zilizonazo na pia kuwepo na mbadala wake. Kuna Mi-24 Hind, Mi-28 Havoc, Mi-35 Hind E na Ka-52 Alligator za Russia zinaweza kuwa mbadala wa AH-64 Apache ingawa hazifanani kwa performance.
Pia US wana tabia ya kuwa na kiherehere wakikuuzia silaha, wanaweza taka utoe maelezo ukitaka kuzitumia au kukunyima spare parts ukiwa vitani. Na si kila nchi inamuamini US katika hilo maana ushahidi upo.
Naona hapo jirani kwa yule mtu mwembamba mrefuuu yeye alinunua Mi-35 Tano na Mi-24 tatu.
 
Apache zina performance nzuri sana na rekodi ya uwezo wake ipo tangu Gulf war, vita ya Iraq mwaka 2003 na operations za Afghanistan dhidi ya Taleban/Taliban. Ziko na sensors nyingi na uwezo mkubwa wa kushambulia usiku na kwenye hali mbaya ya hewa. Zina speed ya kutosha na uwezo wa kuhimili mashambulizi kwa kiasi chake. Uwezo wake wa kushambulia silaha kama vifaru au convoy zozote ardhini ni mzuri kabisa.

Pia zinaweza kubeba air to air missiles chache ziweze kujilinda dhidi ya helicopters au fighters. India wana haki ya kuzinunua maana China wakorofi na mpaka wao una milima hivyo kushambulia ardhini kwa helicopter hakukwepeki. Morocco sijui kwa nini wameamua hivyo, walikuwa na options kadhaa kwa maana hawana maadui advanced.

Chinook zipo vizuri kwenye kubeba mizigo na wanajeshi. Zina performance nzuri sana angani na experience inaonesha hivyo. Zinabeba mzigo mzito na hazina upinzani kwenye hilo. Ni heavy lift helicopter yenye kuweza kuingia front line.
India itazitumia kubeba silaha za haraka kama artillery guns na anti-tank weapons kama wakivamiwa na China, mpaka wao wa Ladakh ni milima mizito mkitembea kuwa magari mtakesha na mashambulizi hayawapi muda wa kusubiri.

Mpinzani wa karibu wa Apache ni Kamov Ka-52 ambayo hata hivyo haijaonekana kwenye mapigano, hivyo Wahindi labda walitaka kitu wenye uhakika nacho. Pia performance za kwenye karatasi Apache inaizidi Ka-52.
Chinook haina upinzani kwenye heavy lifting. Mil Mi-26 ya Russia ndo inabeba tani nyingi zaidi lakini haifai kuingia front line, inafaa kubeba mizigo kupeleka kambini.
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu
 
Sasa muhindi atamshindia mchina kwenye chopper ?

Mchina unamjua au unamsikia?

Vietnam,Korea kusini na hata huyo India wameshawahi kutembezewa kichapo na Mchina baada ya vita ya pili ya dunia
Nazungumzia silaha wewe unazungumzia vita. Tofauti vibaya mno, mimi nimesema operators wewe unasema enemies.

Basi tufanye nazungumzia maadui. Huyo China alipigana na Vietnam ikiwa imetoka kupigana na US, wakati huo kabla ya US ilishapigana na France. Umeona casualties za jeshi ka China kwenye vita hiyo? Walipigika vizuri tu.

Tuje kwa India, mapigano ya mwezi jana Wahindi 20 walikufa wakati China haikutaja idadi lakini ripoti za chinichini kwao zinasema walikufa 30+. Hapa hawakutumia silaha za moto wala haina maana wako vibaya. Ukija kwenye vita halisi miaka ya 1960s uko, India ilikuwa na wanajeshi 20,000 tu wa kuokoteleza mtaani maana haikuwahi kuwa na imani kuwa itakuja pigana. China ilikuwa na 80,000 wanajeshi na ilijipanga kupigana. China ilishinda.
India ana experience na kupigana na Pakistan na jeshi lake linafanya war games na drills kwa NATO na majeshi makubwa duniani, wazungu wanasisitiza India ina jeshi la kujiweza kabisa. Mkuu wao wa jeshi la anga aliulizwa kwa nini ndege zao zinapata ajari sana, alisema bora apoteze ndege kwenye mazoezi kuliko kwenye mapigano. Akasema zinapotezwa nyingi kwa kuwa mazoezi ni magumu mno.

Ukitaka kuichukulia India kama maandazi unakosea. Hakuna yeyote mwenye hamu na mwenzie, sio India wala China.
 
Morocco imeingia mkataba na Marekani kununua Helicopter 24 za mashambulizi aina ya Boeing AH64E Apache ambazo wataanza kukabidhiwa mwaka 2024.

Hadi sasa Apache imeuzwa katika nchi 17 Ulimwenguni.

Jeshi la India pia limekabidhiwa 'Helicopter' zake za mwisho 05 za aina hiyo na kukamilisha jumla ya 22 alizoagiza.
Pia India ilikabidhiwa 'Helicopter' zake za mwisho 05 za kijeshi aina ya 'Boeing' #UH47 Chinook mwaka huu na kukamilisha jumla ya 15 alizoagiza.

Imeripotiwa na: www flightglobal.com

Picha kwa hisani ya mtandao.


Naomba kujulishwa kuhusu uwezo wa hizi ndege zina maajabu gani mpaka Marekani kuziuza kwa nadra kiasi hicho?

Uwezo wake katika uwanja wa kivita ukoje?

chaguo langu ni MI 24
Mil Mi-24


Name:Boeing AH-64 ApacheMil Mi-24
Type:Attack helicopterAttack helicopter
Origin:USARussia
Produced:19831969
-
Full description:Description, operatorsDescription, operators

Specifications
Range:476 km450 km
Max speed:365 km/h (227 mph)335 km/h (208 mph)
Weight max:10.4 t12 t
Crew:22-3
Range
CountryRange [km]
Boeing AH-64 Apache476
Mil Mi-24450

More
Dimensions
Length:17.73 m17.5 m
Rotor diameter:14.63 m17.3 m
Height:3.87 m6.5 m
 
Nazungumzia silaha wewe unazungumzia vita. Tofauti vibaya mno, mimi nimesema operators wewe unasema enemies.

Basi tufanye nazungumzia maadui. Huyo China alipigana na Vietnam ikiwa imetoka kupigana na US, wakati huo kabla ya US ilishapigana na France. Umeona casualties za jeshi ka China kwenye vita hiyo? Walipigika vizuri tu.

Tuje kwa India, mapigano ya mwezi jana Wahindi 20 walikufa wakati China haikutaja idadi lakini ripoti za chinichini kwao zinasema walikufa 30+. Hapa hawakutumia silaha za moto wala haina maana wako vibaya. Ukija kwenye vita halisi miaka ya 1960s uko, India ilikuwa na wanajeshi 20,000 tu wa kuokoteleza mtaani maana haikuwahi kuwa na imani kuwa itakuja pigana. China ilikuwa na 80,000 wanajeshi na ilijipanga kupigana. China ilishinda.
India ana experience na kupigana na Pakistan na jeshi lake linafanya war games na drills kwa NATO na majeshi makubwa duniani, wazungu wanasisitiza India ina jeshi la kujiweza kabisa. Mkuu wao wa jeshi la anga aliulizwa kwa nini ndege zao zinapata ajari sana, alisema bora apoteze ndege kwenye mazoezi kuliko kwenye mapigano. Akasema zinapotezwa nyingi kwa kuwa mazoezi ni magumu mno.

Ukitaka kuichukulia India kama maandazi unakosea. Hakuna yeyote mwenye hamu na mwenzie, sio India wala China.
Kushinda vita ni kumneutralize adui sio habari za casualties

Vietnamese walikimbia maporini huko na hiyo ndio maana ya kumneutralize adui asiendelee kupigana

Kupigwa ni kupigwa tuu sio eti ulinikuta sikujiandaa

China wana jeshi lililokula mafunzo vizuri ndio maana walikuwa effective vita ya korea,Vietnam na border clash na India , wachina wakakamavu sio kama wahindi wala pilipili unaowashabikia


Hao India wenyewe wanamjua vizuri Mchina ndio maana kuna maeneo Mchina ameyakalia kimabavu India wakati huo anaogopa hata kufikiria kurusha ngumi

Hata kwa muinekano tu mtu anaejua ukiangalia parade ya jeshi unaona kabisa hapa nani mkakamavu

Wajapan,Wakorea kusini,Wahindi tena ni nchi vibaraka wa Mmarekani ni wazembe wa kupindukia
 
chaguo langu ni MI 24
Mil Mi-24


Name:Boeing AH-64 ApacheMil Mi-24
Type:Attack helicopterAttack helicopter
Origin:USARussia
Produced:19831969
-
Full description:Description, operatorsDescription, operators

Specifications
Range:476 km450 km
Max speed:365 km/h (227 mph)335 km/h (208 mph)
Weight max:10.4 t12 t
Crew:22-3
Range
CountryRange [km]
Boeing AH-64 Apache476
Mil Mi-24450

More
Dimensions
Length:17.73 m17.5 m
Rotor diameter:14.63 m17.3 m
Height:3.87 m6.5 m
Hizi machine tunatakiwa na sisi Tanzania tufanye mpango wa kuzinunua ili kuimarisha ulinzi zaidi.
 
Kushinda vita ni kumneutralize adui sio habari za casualties

Vietnamese walikimbia maporini huko na hiyo ndio maana ya kumneutralize adui asiendelee kupigana

Kupigwa ni kupigwa tuu sio eti ulinikuta sikujiandaa

China wana jeshi lililokula mafunzo vizuri ndio maana walikuwa effective vita ya korea,Vietnam na border clash na India , wachina wakakamavu sio kama wahindi wala pilipili unaowashabikia


Hao India wenyewe wanamjua vizuri Mchina ndio maana kuna maeneo Mchina ameyakalia kimabavu India wakati huo anaogopa hata kufikiria kurusha ngumi

Hata kwa muinekano tu mtu anaejua ukiangalia parade ya jeshi unaona kabisa hapa nani mkakamavu

Wajapan,Wakorea kusini,Wahindi tena ni nchi vibaraka wa Mmarekani ni wazembe wa kupindukia
Huyo China unayesema mkakamavu ndo alilizwa na nchi kama Japan. Japan aliikalia China, Korea zote, Philippines na visiwa kibao. Hii haimaanishi kuwa kwa sasa China atapigwa na Japan, the same way kushinda kwa China mwaka 1960s hakumaanishi ndio aishinde India in 21st century. China unadai kakalia eneo la India kimabavu? Ndiyo, kwani vipi Russia si naye kakalia eneo la China kimabavu na bado anamuuzia silaha.
Sasa unalinganisha vita ya China iliyopigana na Vietnam iliyotoka vitani na superpower kwa miaka zaidi ya nane?
Na nani kakwambia uwezo wa kijeshi hutazamwa kwenye parade? Kwa hiyo US ambao hawafanyi parade hawana uwezo.

Sijasema India anaweza kumpiga China lakini China haichukulii India kama Ufilipino. India wako vizuri, na hapa siongei ushabiki wewe tetea hoja acha visingizio. Kwa hiyo unawashabikia China, baba zako hao?
 
Back
Top Bottom