Morocco Hackers Again! Je Tu-retaliate?

Morocco Hackers Again! Je Tu-retaliate?

Nimefungua, nimeona hiyo hacked by mr. spam lakini sijaona matusi. Labda utuambie ni page gani?

Huwezi kuona maana Nyani hawezi kujichungulia nyuma kumekaaje?

Hacked By Mr-Spam Aka X-Mar Root


Go Secure Your Ass MTF !!!!-Haya maneno ni tusi au lah!


Moroccan Hackers Was Here




UnderFireSecurity

Specoal Thanks :GovAttacker
 
ﻧﻨﺘﻈﺮ ﻭﻧﺮﻯ
retareate if you can
 
Watundu wasio na nidhamu (WWN) wamevamia tena Web ya Tanzania. Jamaa inaonekana wameumia sana Taifa Stars kuwafunga sasa wanafukunyua website chovu za serikali.

Naomba wadau muweke list ya site walizochezea so far.

Swali ni kuwa Tukawachezee kwao? Mchezo tunauweza?

Tunatakiwa tufanye Hacktivist? Serikali itatulinda in case...!?

Moroccan Hacklist
1. The Vice-President's Office - Home -

Mfumo wa ajira unaruhusu kuajiri vilaza serikalini, na kwenye hii fani ya TEHAMA ndio kabisaaa... Mpaka sasa hivi bado hayo maserukamba yapo, kwanini wasiifunge kwa muda wakati wanashughulikia hilo tatizo, utafikiri hiyo tovuti ina taarifa za maana....
 
Watundu wasio na nidhamu (WWN) wamevamia tena Web ya Tanzania. Jamaa inaonekana wameumia sana Taifa Stars kuwafunga sasa wanafukunyua website chovu za serikali.

Naomba wadau muweke list ya site walizochezea so far.

Swali ni kuwa Tukawachezee kwao? Mchezo tunauweza?

Tunatakiwa tufanye Hacktivist? Serikali itatulinda in case...!?

Moroccan Hacklist
1. The Vice-President's Office - Home -

Mkuu nimefungua sasa hv bado hali ni hiyohiyo.
 
such weak nation mnataka kwenda kwa cyber war!!try if you have gut
What? one Kenyan insult?
Kwa taarifa yako ethics tu ndio zinafanya hii kitu iwe hivi.
Kama unabisha serikali itoe assurance kuwa itatulinda tufanye kazi uone!
If you are weak you will tend to think the whole world is weak!
 
iGuess its time for me to put on my black hat;
Don't do that. Utashangaa serikali inakuvua mask unabaki mweupee!
Serikali hiyo hiyo unayoipigania....cool down.
Kama imewauma watoe ruhusa officially kuwa kuingilia site za Morocco ni sawa...a cyber War!
 
Fixed. Hivi hawa maintainers wa hizi site wanafanya kazi gani? Maana kama wanapitia yamepita masaa mangapi tangu attack hadi fixing?
 
Back
Top Bottom