Ikitokea wamepangwa wao kwa wao manake watapunguzana kabla hawajafika qatar
hio itakua ni hasara kwetu, mana hizo timu 4 ndizo zenye uwezo wa kutuwakilisha vizuri.
Hata zinapotoka makunduni badu hutoka kishujaa wakionesha kandanda safi kabisa
Ikitokea wamepangwa wao kwa wao manake watapunguzana kabla hawajafika qatar
Wakiwemo hao niliowataja?Mkuu africa bado haijaoata wawakilishi wa WC ya Qatar, timu zimebaki kumi wakiwemo hao uliowataja sasa hizo timu kumi zitakutanishwa ili zibaki tano sasa ikitokea misri kapangwa na algeria zat mins ataenda mmoja wao atakaepata wastani mzuri wa magoli katika hizo mechi mbili watakazokutana
Wakiwemo hao niliowataja?
Kina nani hao niliowataja mimi?
Mimi naongelea team zitakazo liwakilisha bara la Africa,haijalishi nani kapanda,Africa inatakiwa izisapoti team zitakazoliwakilisha bara zima,sijataja team yeyote mimi.
Sorry nilihisi wewe ndio mtoa mada, mtoa mada kawataja moroco, algeria na misri ndiomaana nikasema ikitokea misri kapangwa na algeria maanayake ataenda mmoja waoWakiwemo hao niliowataja?
Kina nani hao niliowataja mimi?
Mimi naongelea team zitakazo liwakilisha bara la Africa,haijalishi nani kapanda,Africa inatakiwa izisapoti team zitakazoliwakilisha bara zima,sijataja team yeyote mimi.
Mkuu nahisi mmenielewa vibaya, mimi kama muafrika nitasapoti muafrika yeyote atakaefika qatar, nilichosema mimi afrika bado hatujajua nani atatuwakilisha kwakuwa bado kuna mtoanoTatizo la wengine wanasumbuliwa na ubaguzi. Kisa timu za kiarabu zinawafanya wasizipe sapoti. Ni upumbafu wa hali yajuu. Wao kama wanakereka wakereke na ikibidi wajinyinge, tuko cc hapa 2nasapoti na kushabikia ma giants hawa 2naowategemea wataliwakilisha bara zima.