Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,311
- 7,955
Kwa mliotembea au kukaa kwenye hizi manispaa tupeane uzoefu. Binafsi nilipita morogoro wakati naenda Dar, nilipaona hapako vizuri sana ukilinganisha na Iringa.
Mnaopafahamu hapo moro, ni sehemu gani nzuri ya kuifunika Iringa kuanzia, miundo mbinu ya barabara, mpangilio wa makazi, majengo makubwa na mazuri n.k.
Naona Iringa ipo mbali sana sijui kwa wengine mnalionaje hilo.
Mnaopafahamu hapo moro, ni sehemu gani nzuri ya kuifunika Iringa kuanzia, miundo mbinu ya barabara, mpangilio wa makazi, majengo makubwa na mazuri n.k.
Naona Iringa ipo mbali sana sijui kwa wengine mnalionaje hilo.


MKANYAJI
)