‘Morning Glory’ kwa wanandoa

‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Hahaa
Move za kikorea Zinazingua watu sn, demu la tandika, manzese, majimatitu kwa mtogole yeye anawaza kuwahi buguruni kuchukua vichwa vya kuku, utumbo, ngozi na miguu yake akaange, ukimwambia sijui morning glory anaweZa kukutukana dadeki
 
.
Ni nini maana yake? Hii ni tendo la Ndoa kwa wanandoa katikati ya mida ya saa 10 usiku mpaka saa Kumi na mbili asubuhi.
.
Ni muda ambapo mara nyingi mwanaume anapokuwa amelala mwili wake unakuwa umetulia na sehemu yake ya kiume kuwa imara zaidi.
.
Ni vema muda huo mke akaonesha ufundi wake kwa mumewe. Nenda jikoni kwako, chukua asali ilambe na kuiweka mdomon mwako, muamshe kwa busu tamu mdomoni huku ukizichezea taratibu sehemu zake.
.
Utakavyozidi kufanya hivyo na ndivyo sehemu zake zitazidi kuwa imara, huwa kuna raha kubwa ya kufanya tendo kwa wakati huo, maana misuli ya sehemu hizo huwa imekakamaa zaidi.
.
Mkumbatie kwa nguvu kidogo huku ukigusanisha kifua chako na chake, taratibu vua night dress yako na muache akuone ukifanya hivyo. Simama ukiwa mtupu mbele yake na msaidie kuvua kile alichovaa .
.
Hisia za ngozi yako laini inapogusana na yake ni za juu mno, lala kwenye kitanda huku mmekumbatiana, msugue kifua chako na chake na mbusu taratibu huku ukijiinua kupanda juu yake.
.
Anza kunyonya kifua katika zile nipples zake. Kwasababu kati ya sehemu zenye hisia kali kwa mwanaume ni kwenye vile vinipples vyake vidogo. Huwa wanapenda sana kunyonywa nipples sema hawaongei tu.
.
Kisha kaa juu yake, kuwa mke mbunifu, kama unao uwezo na unaweza kufanya hivyo, basi itumbukize mdomoni mwako, ilambe kama unavyolamba Ice cream ya ukwaju huku unachezea vile vitenesi viwili. Utashangaa atakavyoanza kujinyosha nyosha.
.
Kisha mwambie alale vizuri, panda juu yake kama unaendesha farasi, kisha uwanja ni wako, bounce kadiri unavyoweza. Utashangaa namna ushirikiano unavyokuja.
.
Mwambie maneno matamu "Mimi ni wako, nakupenda mpenzi wangu, i really enjoying.." Endeleza libeneke huku ukizungumza maneno zaidi, usikae kimya utafikiri kuna monita wa kuandika majina ya wapiga kelele. Wanaume hupenda mwanamke anayelalamika kwenye tendo.
.
Mwambie nae azidishe kasi, muite jina lake halisi, sio Baba fulani,, aah hapana. Taja jina lake kabisa. Mnong'oneze sikioni. Mwambie Mume wangu hakuna mtu kama wewe nitakupenda daima
.
Na atakapokaribia kumaliza mkumbatie kwa nguvu zaidi huku ukimkiss mdomoni. Akishamaliza, msaidie kwenda bafuni, muandalie nguo zake za kazini.
.
Asubuhi muandalie kifungua kinywa, akimaliza mkumbutie, muombee kisha muage awe na siku njema kazini. Kisha kila mmoja aende kwenye mishe zake.
.
Utakuwa umejiweka alama moyon mwake, utaifanya siku yake na yako iwe njema. Atatabasamu na kila mtu ofisini.
.
Mwishoe mtumie hata text unavyojua anakaribia kurudi nyumbani, atarudi nyumbani fasta ili aonane na wewe malikia wake....
.
Nyumba yako ndio furaha yako, Ndoa yako ndio Tunu yako, Mume wako ni mali yako halali, kwanini umuonee aibu? Kuwa mbunifu mara moja moja maana hii imeponya wengi!
.
Sijui nazungumza vitu gani hapa.....samahanini lakini.

By: Tweve HezronView attachment 1129566
Duuuh, sijaona matumizi ya ile asali aliyoenda kulamba jikoni🙄🙄🙄🙄
 
.
Ni nini maana yake? Hii ni tendo la Ndoa kwa wanandoa katikati ya mida ya saa 10 usiku mpaka saa Kumi na mbili asubuhi.
.
Ni muda ambapo mara nyingi mwanaume anapokuwa amelala mwili wake unakuwa umetulia na sehemu yake ya kiume kuwa imara zaidi.
.
Ni vema muda huo mke akaonesha ufundi wake kwa mumewe. Nenda jikoni kwako, chukua asali ilambe na kuiweka mdomon mwako, muamshe kwa busu tamu mdomoni huku ukizichezea taratibu sehemu zake.
.
Utakavyozidi kufanya hivyo na ndivyo sehemu zake zitazidi kuwa imara, huwa kuna raha kubwa ya kufanya tendo kwa wakati huo, maana misuli ya sehemu hizo huwa imekakamaa zaidi.
.
Mkumbatie kwa nguvu kidogo huku ukigusanisha kifua chako na chake, taratibu vua night dress yako na muache akuone ukifanya hivyo. Simama ukiwa mtupu mbele yake na msaidie kuvua kile alichovaa .
.
Hisia za ngozi yako laini inapogusana na yake ni za juu mno, lala kwenye kitanda huku mmekumbatiana, msugue kifua chako na chake na mbusu taratibu huku ukijiinua kupanda juu yake.
.
Anza kunyonya kifua katika zile nipples zake. Kwasababu kati ya sehemu zenye hisia kali kwa mwanaume ni kwenye vile vinipples vyake vidogo. Huwa wanapenda sana kunyonywa nipples sema hawaongei tu.
.
Kisha kaa juu yake, kuwa mke mbunifu, kama unao uwezo na unaweza kufanya hivyo, basi itumbukize mdomoni mwako, ilambe kama unavyolamba Ice cream ya ukwaju huku unachezea vile vitenesi viwili. Utashangaa atakavyoanza kujinyosha nyosha.
.
Kisha mwambie alale vizuri, panda juu yake kama unaendesha farasi, kisha uwanja ni wako, bounce kadiri unavyoweza. Utashangaa namna ushirikiano unavyokuja.
.
Mwambie maneno matamu "Mimi ni wako, nakupenda mpenzi wangu, i really enjoying.." Endeleza libeneke huku ukizungumza maneno zaidi, usikae kimya utafikiri kuna monita wa kuandika majina ya wapiga kelele. Wanaume hupenda mwanamke anayelalamika kwenye tendo.
.
Mwambie nae azidishe kasi, muite jina lake halisi, sio Baba fulani,, aah hapana. Taja jina lake kabisa. Mnong'oneze sikioni. Mwambie Mume wangu hakuna mtu kama wewe nitakupenda daima
.
Na atakapokaribia kumaliza mkumbatie kwa nguvu zaidi huku ukimkiss mdomoni. Akishamaliza, msaidie kwenda bafuni, muandalie nguo zake za kazini.
.
Asubuhi muandalie kifungua kinywa, akimaliza mkumbutie, muombee kisha muage awe na siku njema kazini. Kisha kila mmoja aende kwenye mishe zake.
.
Utakuwa umejiweka alama moyon mwake, utaifanya siku yake na yako iwe njema. Atatabasamu na kila mtu ofisini.
.
Mwishoe mtumie hata text unavyojua anakaribia kurudi nyumbani, atarudi nyumbani fasta ili aonane na wewe malikia wake....
.
Nyumba yako ndio furaha yako, Ndoa yako ndio Tunu yako, Mume wako ni mali yako halali, kwanini umuonee aibu? Kuwa mbunifu mara moja moja maana hii imeponya wengi!
.
Sijui nazungumza vitu gani hapa.....samahanini lakini.

By: Tweve HezronView attachment 1129566
Duuuh kazi mnayo kweli wanawake ysani mtu aamke saa kumi alfajiri akimbilie jikoni kumeza asali kisha arudi nayo mdomoni bila kuimeza aje kuamsha mshedede wa bwanake na kuanza kuipakaza kwenye mgonga wa gridi la taifa daaah poleni sana wanawake maana sheatani mwenyewe haangaiki namna hii!!
 
Nimesoma comment zote, wengi wanasema wanawake wa hivyo hawapo.................... sio kweli hiyo morning glory au wengine tunaita amka na BBC huwa zinafanyika sana tuu mno tena kwa kiwango kikubwa...

Shida siku hizi wanaume mmekuwa wavivu sana mno.... Sijui ni vyakula ama laa.. Tuacheni wanawake tena wasiku hizi hakuna kujua huyu kabila flan kila mtu anajua kumruhusu mwenzie amtendee haka
 
Wanawake wa namna hiyo hawapo siku hizi wameshapotea Toka enzi zile za Vita vya kagera aisee
Nimewaza kama wewe....maana jana usiku nikamkonyeza mwenzangu: umeishalala? akanijibu "nimishalala kwani huoni" kwa jibu hili nikarudi zangu sebuleni kumalizia mzinga wangu wa Konyagi....sijachukia maana tupo pamoja miaka 15 sasa, labda kachoka au hayuko kwenye "mood",nk sasa hizo mbwembwe za "utukufu wa asubuhi" ataziweza kweli?
 
Back
Top Bottom