Mkuu General Mangi, inaelekea wewe unamfahamu vizuri huyu bwana. Anawasumbua maskin kweli Arusha. Yani yeye always yupo juu ya sheria. Hivi unapata wapi mamlaka ya kutoa Mali ya mtu dukani mwenyewe akiwa hayupo na serkali ya mtaa ikiwa haipo na anvunja duka, anaunganisha anaanza kufanya biashara kibabe namna hiyo. Na unamwambia serkali haimfanyi kitu na kweli haimfanyi. Vipi anapewa vibali na hachukuliwi hatua zozote kisheria??? Huu ni mwanzo tu. Ni lazma sauti ipazwe hadi viongozi waelewe Hili swala. Anasema hakuna namna anaowaonea wataenda Kwa viongozi Kwani ameshablock njia, lakini watafika tu. Hii ni nchi huruma, hawezi kugeuza Mali ya uma kua kisiwa chake.