Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Naomba maoni tukiwakama washauri wa mmliki wa timu yetu maoni ni mazuri katika
kutoa ushauri na jinsi gani ya kuimarisha kikosi chetu cha man city baada ya kuona
inaendelea matokeo ya kubahatisha ..tunahisi tatizo ni kocha je morinyooo anaweza kutunasua
??kama sie nani anaweza saidia kuimarisha kikosi chetu ambacho hata yahya ,baloteli wasipokuwepo tuwe na uhakika wa ushindi!!!!!!!
kutoa ushauri na jinsi gani ya kuimarisha kikosi chetu cha man city baada ya kuona
inaendelea matokeo ya kubahatisha ..tunahisi tatizo ni kocha je morinyooo anaweza kutunasua
??kama sie nani anaweza saidia kuimarisha kikosi chetu ambacho hata yahya ,baloteli wasipokuwepo tuwe na uhakika wa ushindi!!!!!!!