Montana Khamenei Mojtaba Khamenei! Mojtaba Khamenei hatuko naye

Montana Khamenei Mojtaba Khamenei! Mojtaba Khamenei hatuko naye

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,353
Reaction score
7,156
Katika Mashhad Ardehal, mnara mpya ulizinduliwa kwa heshimu ya watu mashuhuri wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran walioangamizwa na Majeshi ya Israel miongoni mwao ni Gaidi Mojitaka Khamenei amejumuishwa katika orodha ya Magaidi walioangamizwa na Majeshi ya Israel.

Iran imekuwa ikificha sana taarifa za magaidi walioangamizwa toka vita hii ianze lakini pamoja na kubana sana hatimaye wameachia wameweka wazi kwenye uzinduzi wa mnara huo wa mashujaa.

Hii inaonyesha wazi huko Iran hakuna kiongozi ndiyo maana kila mtu huko ni msemaji maana wanajua wazi Majitaka Khamenei alisharambishwa mchanga siku nyingi!!

Najua Wafuga Midevu na Majini hampendi kabisa habari hizi niziseme na kuna wengine watajifanya hawaioni hii post na wengine watadai hawana bundle na kuna wengine majini yatawapanda na wataanza kunishushia matusi tu!!
 

Attachments

  • VID_20260426_220219_303.mp4
    1.9 MB
  • IMG_20260426_220230_546.jpg
    IMG_20260426_220230_546.jpg
    163.1 KB · Views: 10
  • IMG_20260426_220230_839.jpg
    IMG_20260426_220230_839.jpg
    92.1 KB · Views: 10
Katika Mashhad Ardehal, mnara mpya ulizinduliwa kwa heshimu ya watu mashuhuri wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran walioangamizwa na Majeshi ya Israel miongoni mwao ni Gaidi Mojitaka Khamenei amejumuishwa katika orodha ya Magaidi walioangamizwa na Majeshi ya Israel.

Iran imekuwa ikificha sana taarifa za magaidi walioangamizwa toka vita hii ianze lakini pamoja na kubana sana hatimaye wameachia wameweka wazi kwenye uzinduzi wa mnara huo wa mashujaa.

Hii inaonyesha wazi huko Iran hakuna kiongozi ndiyo maana kila mtu huko ni msemaji maana wanajua wazi Majitaka Khamenei alisharambishwa mchanga siku nyingi!!

Najua Wafuga Midevu na Majini hampendi kabisa habari hizi niziseme na kuna wengine watajifanya hawaioni hii post na wengine watadai hawana bundle na kuna wengine majini yatawapanda na wataanza kunishushia matusi tu!!
Kusema uongo wa kitoto kunakusaidia nini?
75% ya thread zako ni za uongo.
 
Katika Mashhad Ardehal, mnara mpya ulizinduliwa kwa heshimu ya watu mashuhuri wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran walioangamizwa na Majeshi ya Israel miongoni mwao ni Gaidi Mojitaka Khamenei amejumuishwa katika orodha ya Magaidi walioangamizwa na Majeshi ya Israel.

Iran imekuwa ikificha sana taarifa za magaidi walioangamizwa toka vita hii ianze lakini pamoja na kubana sana hatimaye wameachia wameweka wazi kwenye uzinduzi wa mnara huo wa mashujaa.

Hii inaonyesha wazi huko Iran hakuna kiongozi ndiyo maana kila mtu huko ni msemaji maana wanajua wazi Majitaka Khamenei alisharambishwa mchanga siku nyingi!!

Najua Wafuga Midevu na Majini hampendi kabisa habari hizi niziseme na kuna wengine watajifanya hawaioni hii post na wengine watadai hawana bundle na kuna wengine majini yatawapanda na wataanza kunishushia matusi tu!!

Daaaah.... Sisi Makobaz tunaisha tu. Tunauliwa kama kuku na hao mazayuni.... Tulikuwa tunatamba sana. Jamaa wanakata vichwa tu.... Iran imekuwa kama Temeke Wailes... Kila mtu msela hakuna kiongozi.
 
Daaaah.... Sisi Makobaz tunaisha tu. Tunauliwa kama kuku na hao mazayuni.... Tulikuwa tunatamba sana. Jamaa wanakata vichwa tu.... Iran imekuwa kama Temeke Wailes... Kila mtu msela hakuna kiongozi.
Hivi hauna habari synagogue la wayahudi pale Tehran lilipigwa bomu? Una maoni gani kwa wayahudi wenzako waliouwawa hapo Tehran?

Hii vita sio ya kidini
 
Kama ni kweli huyu bwana keshafariki lakini Iran wanaficha basi utakuwa ni ujinga mkubwa sana kama wanafikiri wanaweza kuficha kifo muda utakuja kuwaumbua.
 
Si unajifanya wewe Mwarabu-koko OG soma hilo Bangor walilolizindua utapata majibu
Kumbe bango? Nikajua una taarifa za uhakika. We jamaa una matatizo kichwani? Kwahiyo ukiona bango limeandikwa Yesu anarudi 12 December basi ndio ushahidi?

Una matatizo, haiwezekani fake news zote zitokee kwako
 
Kumbe bango? Nikajua una taarifa za uhakika. We jamaa una matatizo kichwani? Kwahiyo ukiona bango limeandikwa Yesu anarudi 12 December basi ndio ushahidi?

Una matatizo, haiwezekani fake news zote zitokee kwako
Hilo bango ni kwa faida yako maana limejieleza labda tu ukitaka nikupe link ujifurahishe kidogo kifo cha Majitaka Khamenei
 
Back
Top Bottom