Mtoto wa kike kaanza kukuwa akaota mavuzi akamfata mama yake na kumueleza,"mama nimeota magoya huku chini" mama akacheka kidogo kupotezea akamwambia hiyo sehemu inaitwa MONKEY. Kwenye chakula cha jioni mtoto akamueleza dada yake " Dada MONKEY wangu ameota magoya" Dada mtu akacheka akamjibu "Hicho cha mtoto w kwangu alishaota na sasa anakula NDIZI, Mama kazimia palepale