Money Heist VS Squid Game

Keyword "ENTERTAINMENT"

Movie siyo maisha halisi, movie inaonyesha mambo yanayotokea katika maisha: mambo halisi na yasiyo halisi. Kwenye maisha halisi kinachoonekana kigumu kwenye movie kinaweza kuwa rahisi sana. Moja ya kitu watu wengi hawajui ni maana ya neno "MOVIE"

Unavyoiona Money Heist ina vitu vingi ambavyo haviwezekani katika maisha ya kawaida, hivyo vitu ndiyo vinaleta burudani kwa watu mbalimbali. Kila mtu ana aina yake ya movie aipendayo, ukiona hupendi uongo wa kwenye movies angalia movie based on real events au documentary.

Professor kwenye Money Heist amecheza character ambayo katika maisha ya kawaida ni ngumu mtu kuwa na success rate katika mambo namna ile ila jinsi alivyokuwa anafaulu katika mipango yake ndiyo ilimfanya kuwa popular na kuifanya series kupendwa.

One of the childish comparison on the internet after "Ronaldo & Messi" inafuata hii ya "Money Heist & Prison Break"View attachment 1967162
Mafanikio ya movie yanapendeza kukiwa na kiwango fulani cha uhalisia kwenye mambo ya msingi kuhusu main characters.

Kwenye Money Heist Secretary wa benki anawazidi ujanja special forces. Computer programmer ghafla kawa komando. Hapo ni story ya kitoto.

Anyway, ila Money Heist niliipenda na kuenjoy ingawa mapungufu yake yako wazi. Na si ajabu haikupata highest rates kuendana na hype yake.

Screenshot_20211018-133925_Opera.jpg
 
Binafsi last ship,prison break na got ndio series zangu bora kabisa,kuna jamaa yangu umuambii kitu kwenye homeland while naiona series ya kawaida sana ila ndio hivyo kila mtu na muono wake na aipendezi mtu akulazimishe akitakacho yy au umlazimishe unachotaka wewe
Kweli kabisa..Kila mtu Kuna namna anapenda series iwe..kwa mfano Kuna watu wanapenda bunduk/risasi zipigwe mwanzo mwisho Kama strike back..wngine wanapenda mapanga Kama Vikings..wengine wanapenda complicated Kama Lost.. wengine ma zombie..Kama the walking dead..wengine ujasusi Kama The Americans..wengine madawa Kama narcos..n.k
 
Watu wa Prison Break wanajaribu sana kuipinga Money Heist na series zao za kijinga. Kwanza story ya Squid na Money Heist hazina hata uhusiano hii comparison hata sijui inatoka wapi au kwa kua nao wamevaa masks?

Money Heist >>>>>Prison Break, nipo Tengeru Arusha karibu na shule ya Akheri njooni mniuwe.
Mwana arusha mwenzangu unaniangusha


Lakini wanaosema money heist nzuri ni watoto wa 2000 kwa hio sio mbaya dogo...
Prison break sidhani hata umeangalia wewe
 
Mwana arusha mwenzangu unaniangusha


Lakini wanaosema money heist nzuri ni watoto wa 2000 kwa hio sio mbaya dogo...
Prison break sidhani hata umeangalia wewe
Hahahaha Prison Break nimeiangalia since 2009 nipo O levelk. Ni nzuri sana ila Money Heist sio ya kufananisha na Squid Game.
 
Mafanikio ya movie yanapendeza kukiwa na kiwango fulani cha uhalisia kwenye mambo ya msingi kuhusu main characters.

Kwenye Money Heist Secretary wa benki anawazidi ujanja special forces. Computer programmer ghafla kawa komando. Hapo ni story ya kitoto.

Anyway, ila Money Heist niliipenda na kuenjoy ingawa mapungufu yake yako wazi. Na si ajabu haikupata highest rates kuendana na hype yake.

View attachment 1978627
Kwani miezi 5 waliyoakaa kule kambini akina Rio walikuwa wanajifunza Nini?
 
Mafanikio ya movie yanapendeza kukiwa na kiwango fulani cha uhalisia kwenye mambo ya msingi kuhusu main characters.

Kwenye Money Heist Secretary wa benki anawazidi ujanja special forces. Computer programmer ghafla kawa komando. Hapo ni story ya kitoto.

Anyway, ila Money Heist niliipenda na kuenjoy ingawa mapungufu yake yako wazi. Na si ajabu haikupata highest rates kuendana na hype yake.

View attachment 1978627
Vipi yule polisi alivyoingia kirahisi kabisa mule ndani, eti sehemu ya kupokelea simu Haina CCTV, sehemu ya kutunza mafaili Haina CCTV.
 
Nimebahatika kuziangalia hizi zote, kitu cha kwanza kabisa, hazifanani, ni muvi tofauti ila ukija kwenyr uandishi, huyu aliyeandika hii Squid Game, ameiandika kiuandishi kabisa.

Muvi A: Series ya Money Heist inaanza vizuri sana, inakufanya uvutike na kutamani kuiangalia zaidi lakini baadaye, udhaifu unaonekana waziwazi, muvi inaanza kukaa kitoto, kuna matukio ambayo ni very simple kutokea, mwandishi akiyaandika kirahisi sana.

Duniani, pesa hazilindwi sana kama karatasi za kutengenezea pesa. Ni bora uingie benki ya dunia uibe mabilioni ya dola lakini si karatasi za kutengenezea pesa, hizo zina ulinzi mkubwa mno kwani ukifanikiwa kuzipata, wewe ni bilionea. Lakini kwenye hii series, yaani watu wanaingia kirahisi sana, huo ni udhaifu wa kwanza, halafu wa pili, watu wanaanza kuingizia mapenzi humohumo.

Jaribu kufikiri tu, sehemu kama hiyo ambayo inatakiwa milango yako yote ya fahamu iwe wazi, kinatokea kitu kama hicho, kiuhalisia, hamna kitu kama hicho.

Tokyo alibahatika kuondoka, akatoka humo, kilichotokea baadaye, akarudi tenayaani very simple tu, ni kitu abacho hakiwezi kutokea hata kidogo.

Ukifuatilia yule mama aliyekuwa akifuatilia hilo suala, naye alikuwa na udhaifu mkubwa. Hafuatilii kama mfuatiliaji, anafuatilia kama muigizaji na ndiyo maana watu wanasema kama kazi ya kumfuatilia angepewa Mahon wa Prison Break, series ingeishia season ya kwanza tu.

Nimeangalia muvi nyingi za kipelelezi, ila sijamuona mtu anayefuatilia kesi kama yule mama, mwandishi amekuwa dhaifu sana upande huo, hakutaka kumpa nguvu, alimpa nguvu Profesa.

Tazama Prison Break, Scofield alikuwa na akili sana, naye Mahon alikuwa na akili mno, alipewa nguvu sana na mandishi na ndio maana wakisumbuana sana.

Kwa Rate, kule IMBD nimeweka 6/10.

Nakuja kuichambua na Squid Game.

Uandishi wa Squid Game nineupenda sana. Kabla ya kumpa character nguvu kwanza tuambie kwa nini anapewa hizo nguvu.

Hii series imezungumzia zaidi mtu masikini, mwenye madeni ambaye hawezi kuyalipa, ili kuyalipa, anakuwa tayari kufanya lolote lile kwa ajili ya pesa.

Watu wenye madeni wamechukuliwa na kuwekwa sehemu moja. Kila mtu mbali na madeni, ana matatizo binafsi, huyu mama yake mgonjwa, yule hivi na vile.

Hapo mtazamaji unaona kabisa huyu mtu anahitaji pesa. Michezo ambayo wameicheza, ni kweli inasumbua kichwa, mbele ya bastola, huku ukiwa unatetemeka, unaambiwa uufanye mtihani fulani.

Hii muvi imenikumbusha muvi nyingi kama Escape Room na Saw. Games walizocheza ni za utotoni, ila kwa kipindi hiki zimejaa hatari.

Vitu ambavyo vimeifanya series hii kupendwa ni namna michezo ilivyochezwa, ukatili uliofanyika na hata mwisho kugundua babu ndiye mratibu, ni kitu ambacho hakuna mtu yeyote aliyehisi hilo.

Dhima kubwa ya series hii ni kukuonyesha mtu mwenye matatizo ya pesa, yupo tayari kufanya lolote lile ilimradi kupata pesa hata kama litagharimu maisha yake.

Endapo hii series ingetoka mwaka 2008 ilivyoandikwa, isingevutia kama sasa hivi kwa kuwa bado hatukuwa na muvi za namna hii, ila kwa sasa ni lazima tuipende kwa kuwa tumeona vitu ambavyo tumeviona kwenye Escape Room, Saw na nyinginezo.

Kwa kule IMBD nimeipa Rate ya 7/10.View attachment 1966185
Uache kufananisha viazi na mihogo
 
Money heist ni series yenye uongo uliopitiliza, inawezekana vipi askari mjamzito tena anakaribia kujifungua akaingia kwenye mission ngumu kama zile za kupambana na majambazi?

Inawezekana vipi kiongozi mkubwa wa kipolisi kujiunga kwenye kundi la kihalifu kirahisi tu ?

Wangejitahidi kuweka matukio yao kwenye ukweli kidogo series ingekuwa poa........ Squid game ni nzuri zaidi for entertainment na kuna baadhi ya vitu vinakufikirisha, Mfano mchezo wenyewe ulikuwa unaonekana ni illegal na ndyo maana waliokuwa wanachezesha ile michezo walikuwa wakifanya siri hata walipokuwa wakiwachukua washiriki walikuwa wakiwapulizia dawa na kufika eneo la tukio bila ya wao kujua walipita wapi na sehem walipo pia walikuwa hawajui ni wapi.
 
HAYO NI MAPENZ TU ILA KWA FUNDI WA KUANGALIA NA KUFATILIA MOVIE UWEZ CRITISIZE MONEY HEIST KWA HOJA KAMA ZAKO.TUNAKUBAL SQUID GAME WAMEJITAID KULETA LADHA TOFAUT.ALAFU UNAPOTAZAMA SERIES AU MOVI ZA MBELE JARIBU SANA KUA MAKN UNAEZA LAUM KUMBE UFUATILII MOVI. IIKO IVI

MONEY HEIST
KATIKA TAIFA LOLOTE DUNIAN AKUNA KITU MUHIM KAMA WANANCHI/RAIA NA NYARAKA ZA SERIKAL MONEY HEIST WALITEKA MATEKA IVO ILIKUA HAINA JINSI SERIKAL ILIKUA HAIEZ TUMIA NGUVU TENA MATEKA 30 MAJAMBAZ 10 FIKIRIA YAN WARUHUS KUJIBZANA NA MAJAMBAZ KUZUIA PESA AFU WAUE RAIA NI NGUM HATA WW UNGEKUA INCHARGE ILI BID UWE MPOLE,CHENGNE PROF ALISOMA ALL RISK AND EXPECTATION ZA MAAFANDE NA TULIONYESHWA KUNA MDA ANAFELI NA KWELI ANAHANGAIKAGA
 
HAYO NI MAPENZ TU ILA KWA FUNDI WA KUANGALIA NA KUFATILIA MOVIE UWEZ CRITISIZE MONEY HEIST KWA HOJA KAMA ZAKO.TUNAKUBAL SQUID GAME WAMEJITAID KULETA LADHA TOFAUT.ALAFU UNAPOTAZAMA SERIES AU MOVI ZA MBELE JARIBU SANA KUA MAKN UNAEZA LAUM KUMBE UFUATILII MOVI. IIKO IVI

MONEY HEIST
KATIKA TAIFA LOLOTE DUNIAN AKUNA KITU MUHIM KAMA WANANCHI/RAIA NA NYARAKA ZA SERIKAL MONEY HEIST WALITEKA MATEKA IVO ILIKUA HAINA JINSI SERIKAL ILIKUA HAIEZ TUMIA NGUVU TENA MATEKA 30 MAJAMBAZ 10 FIKIRIA YAN WARUHUS KUJIBZANA NA MAJAMBAZ KUZUIA PESA AFU WAUE RAIA NI NGUM HATA WW UNGEKUA INCHARGE ILI BID UWE MPOLE,CHENGNE PROF ALISOMA ALL RISK AND EXPECTATION ZA MAAFANDE NA TULIONYESHWA KUNA MDA ANAFELI NA KWELI ANAHANGAIKAGA
Hajui kitu kuna matukio mengi tuu ya utekaji yametokea na polisi wamechukua muda kuyasolve
 
Vipi yule polisi alivyoingia kirahisi kabisa mule ndani, eti sehemu ya kupokelea simu Haina CCTV, sehemu ya kutunza mafaili Haina CCTV.
Unaona sasa! Ile movie ingawa nzuri script yake haikukaa sawa.

Na ile gay theme wameilazimisha ila haina maana yoyote na haiendani kabisa na movie. Walitafuta gay fans tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom