Money and love

Money and love

Na mimi mke wangu siku asipo niomba pesa sitajiona so, mana mwanamke bila kusema (Honey nataka pesa) Habib bedi masaar huwa sijisikii raha:biggrin:
 
Pesa kwanza mapenzi yanafuata, ingekuwa mapenzi bora kuliko pesa mabaharia wasingekaa baharini kwa miezi from one country to another kutafuta pesa, wangekaa na wapenzi wao kuundekeza mapenzi tu.
 
Wewe No mane No lav!
Dekoresheni
onamenti
vocha
jifti
Havishuki toka mbinguni !
 
Itategemea........kama una mvuto naweza kukuvumilia utafute.......
 
Itategemea........kama una mvuto naweza kukuvumilia utafute.......

Mvuto ndiyo utakujaza mimba? Mtakula mshibe mvuto?
Luku mtajaza mita kwa mvuto?
Mtaweka airtime simu zenu kwa mvuto wa kuipenda kampuni ya Voda?
Shem mvuto tupa kuleee!
Ukibisha utakua una asili ya Keigii .
 
Sijawai sikia kabisa! Labda na hili tulifanye area of concetration kwenye hile tume ya mizengwe!
 
Mvuto ndiyo utakujaza mimba? Mtakula mshibe mvuto?
Luku mtajaza mita kwa mvuto?
Mtaweka airtime simu zenu kwa mvuto wa kuipenda kampuni ya Voda?
Shem mvuto tupa kuleee!
Ukibisha utakua una asili ya Keigii .

Mi mwenyewe nazitafuta shem......kwani unadhani sisi wenyewe wallet zetu nyembamba.....itategemea utakuwa umenivutia kiasi gani.......kitakachonishawishi nifungue wallet yangu.......au unafikiri hatumiliki wallet.......?
 
Mi mwenyewe nazitafuta shem......kwani unadhani sisi wenyewe wallet zetu nyembamba.....itategemea utakuwa umenivutia kiasi gani.......kitakachonishawishi nifungue wallet yangu.......au unafikiri hatumiliki wallet.......?

Wallet mnazo lakini Hasi !
Za kwetu Chanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom