David W. Nkinda
New Member
- Jul 25, 2015
- 3
- 0
Chato vs Monduli ni mada nzuri sana lakini inahitaji akili pana sana kuijadili si kama wengi walivyoweza kuchangia hapa.
Chato kuna taa za barabarani.. Kwi kwi kwi
Hawa wamasai wanaotangatanga na ngombe wao hawatoki monduli? Basi lowasa atakuwa mbinafsi sana.
Agenda ya vijana ni ajira zenye staha, siyo mabadiliko ya mavazi ya watawala..Magufuli ndo mwenye mipango bora ya ajira kwetu vijana.
msoga vs kwa mkapa wapi pameendelea??
Na kikwete alituahidi hivyo hivyoAgenda ya vijana ni ajira zenye staha, siyo mabadiliko ya mavazi ya watawala..Magufuli ndo mwenye mipango bora ya ajira kwetu vijana.
Kisha ongezea kwenye swali lako nani aliyeitia zaidi serikali hasara? Nani aliyeiba mpunga mwingi kuliko mwingine?
Huyu unaemuona malaika kaitia serikali hasara zaidi. Anzia Mwz yeye pamoja bw. Tizeba walipofanya maamuzi yalioigharmu serikali mabilion, meli ya uvuvi (samaki wa Maghufuli), 10 percent ya barabara zinazokufa kwa miezi mitatu.
Mambo ya Richmond ni uzembe wa serikali kushindwa kuchukuwa hatua, ukizingatia Mwakyembe alisema bungeni kuna kurasa 5 anziacha kwa sbb zinamgusa mkuu.
Duh! Kumbe enhee? Lakini mbona umekurupuka bila hata ya kufanya utafiti nani katafuna nyingi, manake wote wameshatutia hasara, na bado wanataka kutafuta zaidi. Mradi wa gesi ndio umetolewa macho zaidi na ndio maana watu wapo tayari kutumia hela nyingi waingie ikulu kwani wanajua faida yake ni kubwa zaidi.
Hawa wamasai wanaotangatanga na ngombe wao hawatoki monduli? Basi lowasa atakuwa mbinafsi sana.
(chato kaweka mzani wakati hamna malori)