Regnatus Cletus
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,114
- 958
Kwanini wanang'ang'ania kuweka wagombea kwenye nchi yenye uongozi wa laana??Wewe ndio mfu hujui hata kinachoemdelea ndani ya nchi hii ye yenye uongozi wa laana.
Vilio vya samaki hivi......bure kabisa.
Wanasiasa hawana faida yoyote hawa, wapiga makelele tu.