Monduli: Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Atoroka ofisini na kuzima simu bila kuwapisha mawakala wa CHADEMA

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Monduli amegoma kuwaapisha mawakala wa CHADEMA waliowasilishwa na chama kwake ili kuziba nafasi ya mawakala waliokamatwa, kutekwa na wengine kurubuniwa na CCM hivyo kujitoa.

Msimamizi huyo amewaweka mawakala hao toka Saa nane mchana na ilipofika Saa mbili o nusu usiku akatoroka na kuzima simu zote.

Inasikitisha Sana kwamba chaguzi zinaitishwa lkn hazisimamiwi kwa mujibu wa sheria. Tunaendelea kumtafuta huku tukichukua hatua zingine.

Yonas Masiaya
Mgombea Ubunge Monduli.
 
Ccm hamna kitu wamekataza mikutano ya kisiasa wao wanafanya bado wanapumulia mashine wanaiba kura hadi wanachapia bado wanapumulia mashine

Chama kinakubalika bado kinaiba kura magufuli anajipiga chenga mbaya sana nchi ipo kwenye vuguvugu la mabadiliko watapata tabu sana.
 
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Monduli amegoma kuwaapisha mawakala wa Chadema waliowasilishwa na chama kwake ili kuziba nafasi ya mawakala waliokamatwa, kutekwa na wengine kurubuniwa na ccm hivyo kujitoa.
Msimamizi huyo amewaweka mawakala hao toka Saa nane mchana na ilipofika Saa mbili o nusu usiku akatoroka na kuzima simu zote.
Inasikitisha Sana kwamba chaguzi zinaitishwa lkn hazisimamiwi kwa mujibu wa sheria. Tunaendelea kumtafuta huku tukichukua hatua zingine.

Yonas Masiaya
Mgombea Ubunge Monduli.
Tumechoka kusikia lugha hiyo.Ni muda wa kupata aina nyingine ya taarifa zinazoshabihiana na zile za MKIRU.Baaaasi.
 
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Monduli amegoma kuwaapisha mawakala wa Chadema waliowasilishwa na chama kwake ili kuziba nafasi ya mawakala waliokamatwa, kutekwa na wengine kurubuniwa na ccm hivyo kujitoa.
Msimamizi huyo amewaweka mawakala hao toka Saa nane mchana na ilipofika Saa mbili o nusu usiku akatoroka na kuzima simu zote.
Inasikitisha Sana kwamba chaguzi zinaitishwa lkn hazisimamiwi kwa mujibu wa sheria. Tunaendelea kumtafuta huku tukichukua hatua zingine.

Yonas Masiaya
Mgombea Ubunge Monduli.
Hivi kweli hamna mtu wa kujisacrifice kutia adabu hawa wakurugenzi badala ya kulalamika tu na busnes as usual?Upinzani nchi hii ni waoga sana,onyesheni njia badala ya kuishia kulalamika!!!!Msipobadili strategy huko mbeleni hali itakua mbaya zaidi wameishajua wote ni wapiga mayowe tu!!Hakuna diplomacy kupambana na shetani/dictator
 
Wiki iliyopita Mwenyekiti wa BAVICHA, alitoa taarifa kuwa mawakala wote wa CDM wamesha apishwa, leo tunapewa taarifa kinzani. CDM mna matatizo.
haa haa. halafu. walidanganywa eti viapo. watavikuta vituoni. mweh. monduli. uchakachuzi utafanyika wa hali ya juu kuliko ukonga
 
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Monduli amegoma kuwaapisha mawakala wa Chadema waliowasilishwa na chama kwake ili kuziba nafasi ya mawakala waliokamatwa, kutekwa na wengine kurubuniwa na ccm hivyo kujitoa.
Msimamizi huyo amewaweka mawakala hao toka Saa nane mchana na ilipofika Saa mbili o nusu usiku akatoroka na kuzima simu zote.
Inasikitisha Sana kwamba chaguzi zinaitishwa lkn hazisimamiwi kwa mujibu wa sheria. Tunaendelea kumtafuta huku tukichukua hatua zingine.

Yonas Masiaya
Mgombea Ubunge Monduli.

Mbona haya mambo ni kama ya kitoto sana?
Hivi hakuna utaratibu unaoeleweka kuzuia mambo kama haya yasitokee? Uchaguzi hauwezi kusimamishwa?
Hakuna njia yoyote ya kutafuta HAKI ITENDEKE?
Mashahidi wapo wanaoweza kushuhudia hayo yaliyotendeka?
Wananchi watajua kuwa hivi ndivyo mnavyoonewa? Mataifa ya nje wanajua maandalizi haya ya kunyimwa haki?
Inachosha sasa
 
Back
Top Bottom