Ndugu 'wananchi'
Naomba kudeclare interest kuwa mimi ni muarusha 'masai' kama lilivyo kabila la mgombea wa ccm Filemon Mollel hapa Arusha mjini.
Kumekuwepo na juhudi za kututaka watu wa hapa kumchagua mgombea huyo eti kwa kuwa ni 'wa kwetu' tuachane na kamanda wetu Godbless Lema.
Dalili zinaonesha kuwa ni propaganda iliyoshindwa kwa kuwa mali zake sio 'zetu',na pia sisi waarusha hatuna ukabila hence hao hao wachaga tumeoana,tumezaliwa wote hapa na wazazi wetu wameoana ama tumezaliwa na akina mama wa kichaga..kutugawa ni ngumu.
Hata hivyo hatari ya Monaban niliyemjua baada ya kuchukua fomu ya ccm ni kuyumba kibiashara kwa kuwa wanaomdai pesa nyingi,washirika wake wa biashara,wateja wake ni wachaga pia.
Wote tunaisoma namba lakini majeraha Mollel anayotengeneza atasomeshwa namba.
Arusha, Lema tena 2015.
kama tupo makabila mchanganyiko basi sasa ni zam ya MONABAN
Ndugu 'wananchi'
Naomba kudeclare interest kuwa mimi ni muarusha 'masai' kama lilivyo kabila la mgombea wa ccm Filemon Mollel hapa Arusha mjini.
Kumekuwepo na juhudi za kututaka watu wa hapa kumchagua mgombea huyo eti kwa kuwa ni 'wa kwetu' tuachane na kamanda wetu Godbless Lema.
Dalili zinaonesha kuwa ni propaganda iliyoshindwa kwa kuwa mali zake sio 'zetu',na pia sisi waarusha hatuna ukabila hence hao hao wachaga tumeoana,tumezaliwa wote hapa na wazazi wetu wameoana ama tumezaliwa na akina mama wa kichaga..kutugawa ni ngumu.
Hata hivyo hatari ya Monaban niliyemjua baada ya kuchukua fomu ya ccm ni kuyumba kibiashara kwa kuwa wanaomdai pesa nyingi,washirika wake wa biashara,wateja wake ni wachaga pia.
Wote tunaisoma namba lakini majeraha Mollel anayotengeneza atasomeshwa namba.
Arusha, Lema tena 2015.
arusha waachiwe waarusha wenyewe iwe mmeru, mmasai nk. Wachaga wakagombee kwaojiji la ARUSHA Lina makabila Mengi mchanganyiko hizi siasa zake nyepesi kweli zitamgarimu
Acha kueneza ukabila mjombaarusha waachiwe waarusha wenyewe iwe mmeru, mmasai nk. Wachaga wakagombee kwao
Lema ataishia kuliangalia bunge kwenye tv kama kafulilaMmeanza visingizio?
Lema lazima apigwe chini
Zambi ya ubaguzi acha iwatafune!
nyinyi ndio wapandaji wakubwa wa dhambi hii ya ubaguzi
Mbona machaga domo wanaukabila na ukabila ndio nyumbani kwaoTumkatae mtu yoyote anayetugawa kwa rangi kabila au ukanda tumkatae Mollel aka Monoban
arusha waachiwe waarusha wenyewe iwe mmeru, mmasai nk. Wachaga wakagombee kwao
amuulize yule Ole Medeye aliyekuwa ccm alivyopotezwa kwa siasa za aina hiyo! ndo akaona hamna namna inabidi atujoin CDM.
Lema ataishia kuliangalia bunge kwenye tv kama kafulila
Mmeanza visingizio?
Lema lazima apigwe chini
Monaban ha ha ha ha...
Hivi sasa hivi anafanya kampeni kweli au ndio mwendo wa nyumba kwa nyumba?
Mkuu sasa hivi ndio anazidi kuchoka kabla ya uchaguzi alikuwa anapita na mabalozi na viongozi wa ccm akigawa hela, juzi ameanza tena kuga wa unga kwa kila kaya wamama wa ccm wanakimbizana kwa mabolozi kwenda kuchukua unga wa monaban, na amewaahidi wakimchagua atawapa mikopo pamoja na unga kilo 5 kila familia kwa mwezi. Jamaa anajilipua kuliko ISIS atakuja kulia na mweye kumbe hadidi ni yeye. Sie tunasubiri kumpeleka kamanda LEMA BUNGUNI kwa kishindo ikiwa pia ni heshima ya kipekee kwa kamanda wetu marehemu Alphonce Mawazo, kwa hili la mawazo ndio wameamsha hasira za kuifuta kabisa ccm A town.