Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,718
Mombasa tamu
Hapo kwel Ila mwaka huu tunamalizia yetu awamu ya kwanza,Mombasa haiwez
Reli ya Tanzania nimeiona ikijengwa nikitazama zile pillar zake pale Kwa stendi ya mwendokasi pale kariakoo haiona kama kidogo hadhi yake ya chini ila sitalizungumzia Sana nasubiri ikamilike niione.Hapo kwel Ila mwaka huu tunamalizia yetu awamu ya kwanza,Mombasa haiwez
Sent using Jamii Forums mobile app
Nov itakua tayariReli ya Tanzania nimeiona ikijengwa nikitazama zile pillar zake pale Kwa stendi ya mwendokasi pale kariakoo haiona kama kidogo hadhi yake ya chini ila sitalizungumzia Sana nasubiri ikamilike niione.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mombasa ina viwanda vingi na ni ya tatu baada ya Nairobi na thika hadi vya kutengeza magari na kuna mpango ambao tayari umeanza kuifanya Mombasa iwe the industrial hub of eastern Africa , serkali inawekeza dollar billion moja Kwa huo mradi.
Very true. though it's not about cleanliness but the planning of the estates.
Ni vyema,ntafuatilia zaidi kuhusu ilo,uwekezaji mkubwa wa viwanda kwa sasa umeelekezwa zaidi mkoa wa PwaniMombasa ina viwanda vingi na ni ya tatu baada ya Nairobi na thika hadi vya kutengeza magari na kuna mpango ambao tayari umeanza kuifanya Mombasa iwe the industrial hub of eastern Africa , serkali inawekeza dollar billion moja Kwa huo mradi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena jua ya kwamba serkali ikihamia Dodoma Dar kidogo itapunguza makali ya ukuaji na nguvu zitaelekezwa Dodoma Kwa hivyo haitaendelea na ile spidi ya sasa na hilo litaipa kibarua kigumu kushindana na Mombasa.Ni vyema,ntafuatilia zaidi kuhusu ilo,uwekezaji mkubwa wa viwanda kwa sasa umeelekezwa zaidi mkoa wa Pwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho ya serikal ipo DarTena jua ya kwamba serkali ikihamia Dodoma Dar kidogo itapunguza makali ya ukuaji na nguvu zitaelekezwa Dodoma Kwa hivyo haitaendelea na ile spidi ya sasa na hilo litaipa kibarua kigumu kushindana na Mombasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sikatai ila kama mtalifanya Dodoma kuwa jiji kuu basi itabidi muekeze kule Kwa kiasi kikubwa kumbuka Sisi kidogo Nairobi hatuwekezi Sana ila Kwa upanuzi wa barabara tu lakini sasa tume forcus katika maeneo mengine haswa Mombasa Kwa Sana ili liweze kukua kitega uchumi kikubwa sana.Roho ya serikal ipo Dar
Angalia miradi ya mabilioni inayotekelezwa hapa
1 DMDP (Dar metropolitan development project) $300M mradi wa miaka 5 kuanzia 2015-2020 huu unahusisha ujenzi a barabara madaraja pamoja na vitega uchumi
2.Ubungo interchange $90M
3.Salender bridge $140
4.BRT II $150M
5.Kimara -Kibaha highway $ 65M
6.kinyerezi power plant II $240M
7.SGR to b electrified $1.2M
watakwambia wanahamia DODOMA
Sent using Jamii Forums mobile app
DODOMA ndio wanajenga mji wa kiserikal sehemu flan kunaitwa ihumwa,wanampango wakujenga TRAM, Ringroads na highways kadhaa kujizatiti na ongezeko la magari,hatua kadhaa zinachukuliwa kiufupi wanafanya maendeleo maeneo yote kwa sasaHilo sikatai ila kama mtalifanya Dodoma kuwa jiji kuu basi itabidi muekeze kule Kwa kiasi kikubwa kumbuka Sisi kidogo Nairobi hatuwekezi Sana ila Kwa upanuzi wa barabara tu lakini sasa tume forcus katika maeneo mengine haswa Mombasa Kwa Sana ili liweze kukua kitega uchumi kikubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app