cdm hawagawi kadi wanauza.
Ccm wanagawa je nani anayezipapatikia?
acha urongo jomba. chadema wanauza kadi? wapi?
acha urongo jomba. chadema wanauza kadi? wapi?
mkuu unaweza pata kadi ya chadema bure kama ya ccm?
Soma mtoa post anazungumza nini,kuuza umejua imetumika vipi hapo?
Ligi zisizo na msingi hazifai.
Rejea;
Kuuza sera.
Kuuza maneno
Kuuza sura.
Nashukuru kwa uvumilivu
hizo spin tu.
mkuu unaweza pata kadi ya chadema bure kama ya ccm?
View attachment 55767Hawa
ndio Nape anawaita oil chafu, nina hamu ya kuona Kama CCM mlipata hata
mmoja Makambaku juzi.Hapo Raia wakisukumana kununua kadi za CHADEMA juzi
pale Masasi
Labda unakadi ya UAMSHOada ya uanachama siyo bei ya kadi.
ninayo, tena niliipata makao makuu. nililipia ada ya uanachama, kitu ambacho ni wajibu wangu kufanya.
Chadema hatuuzi kadi bali unalipia kadi ya uanachama.chadema hatuuzi kadi wewe. jipange.
chadema hatuuzi kadi wewe. jipange.