Moja ya matokeo ya uongozi wa Magufuli

Moja ya matokeo ya uongozi wa Magufuli

Acha uongo wewe ndani ya miezi saba tu majanga chungu nzima halafu unadai eti anaipeleka Tanzania mahali Malaika wanaishi. Acha kukurupuka tafakari kwa kina badala ya kukurupuka kuandika vitu ambavyo havina ukweli wowote.
mkuu naona hili swala la kukurupuka umelishikilia sana lakini mimi nakushauri uanze kutoa hili somo la kutokukurupuka kwa mbowe kwanza ili ajenge upinzani wenye maamuzi sahihi ndo uje kwa magufuli.....
 
Acha uongo wewe ndani ya miezi saba tu majanga chungu nzima halafu unadai eti anaipeleka Tanzania mahali Malaika wanaishi. Acha kukurupuka tafakari kwa kina badala ya kukurupuka kuandika vitu ambavyo havina ukweli wowote.

Majanga gani, unayataja yanalinganishwa na faida tunapata jawabu. Wabongo bhana
 
Wabongo wenzangu mnanichanganya sana nikikumbuka walisema kikwete alipotoshwa na marafiki na viongozi wa chini leo hao mabest na viongozi wa chini wako kwa magu wimbo umebadilika kua kikwete ndo alikua na shida sio wao sijui wakiaribu huku sijui itakuaje mana wanamjaza sifa walizo mjaza kikwete enzi izo
 
Kama tunasema tunacho maanisha na kama tuna maanisha kile tunacho sema basi chadema wamuunge mkono magufuli. Aina yoyote ya upinzani kwa yale ambayo magufuli anayafanyia kazi ni unafiki.
 
Mbowe amekosa pa kutokea kila mlango kufuri limefungwa.
 
Vilaza tutatafuta pakwenda hii kauli imeniuma sana sanaaa aiseeeeee
 
Sisi tunaishi duniani na Magufuli ni wa duniani
 
Back
Top Bottom