Nimesikitishwa sana na maamuzi ya Mohammadu Buhari Rais wa Nigeria kupeleka meli ya kivita katika pwani ya Gambia na anajiandaa kupeleka ndege za kivita Gambia kumuondoa incumbent Strong leader Professor Dr Yahya Jemus Junkung Jammeh
Mohammadu Buhari hana haki hiyo na ni unafki uliokithiri kukubali matendo anayoyafanya Buhari ..ninapinga kwa 100%
mwaka 1966 LT.Mohammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani na kumuua Gen.Aguinyi Ironsi
Mwaka 1975 LT Colonel Muhammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Yakubu Gowon
Mwaka 1983 Major General Mohammadu Buhari alikuwa kiongozi aliyeendesha mapinduzi ya kuiondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia ya Rais Shehu Shagari na kushika hatamu,lakini mwaka 1985 Gen.Ibrahim Babangida alimpindua Buhari
Mwaka 2007 Muhammadu Buhari aligombea urais na kushindwa lakini aliyakataa matokeo na kukata rufaa.
Iweje mtu kama Buhari ndio aongoze mazungumzo ya kumshawishi Jammeh ayakubali matokeo na aachie uongozi?
Napingana na Buhari. ..Buhari hana haki ya kumnyooshea kidole Jammeh ,Buhari hana haki ya kupeleka warships,Aircraft's Gambia
Tupinge na kukataa unafki wa Buhari
Tulia dawa ikuingie mliyoyafanya Zanzibar mnafikiri wenzenu wanayavumilia
Hao si wangeleta ilo dude na kule kisiwa cha karafu
Kila jambo na wakati wake. Siku itafika meli la vita CVN-69 Dwight D. Eisenhower kwa ruhusa ya UN security council itavinjari Zanzibar channel kutekeleza naval blockade Zanzibar kwa madhumani ya kulinda demokrasia na heshima ya Mzanzibari. Kwa kudra ya Mwenyezi Mungu wanafiki wanao hubiri tutalinda muungano kwa nguvu zote watakua hai kushuhudia tukio la karne. HAKI!Hao si wangeleta ilo dude na kule kisiwa cha karafu
Hivi hapo ndio wanapeleka demokrasia?
Wahangah hapo ni nani? Demokrasia inapelekwa na majeshi ya uvamizi?Naam,hapo ndio wanatoa somo kwamba Wizi wa Kura na Kung'ang'ania madaraka kuna mwisho wake.
Unapinga kwa sababu kwako siku zimegandaNimesikitishwa sana na maamuzi ya Mohammadu Buhari Rais wa Nigeria kupeleka meli ya kivita katika pwani ya Gambia na anajiandaa kupeleka ndege za kivita Gambia kumuondoa incumbent Strong leader Professor Dr Yahya Jemus Junkung Jammeh
Mohammadu Buhari hana haki hiyo na ni unafki uliokithiri kukubali matendo anayoyafanya Buhari ..ninapinga kwa 100%
mwaka 1966 LT.Mohammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani na kumuua Gen.Aguinyi Ironsi
Mwaka 1975 LT Colonel Muhammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Yakubu Gowon
Mwaka 1983 Major General Mohammadu Buhari alikuwa kiongozi aliyeendesha mapinduzi ya kuiondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia ya Rais Shehu Shagari na kushika hatamu,lakini mwaka 1985 Gen.Ibrahim Babangida alimpindua Buhari
Mwaka 2007 Muhammadu Buhari aligombea urais na kushindwa lakini aliyakataa matokeo na kukata rufaa.
Iweje mtu kama Buhari ndio aongoze mazungumzo ya kumshawishi Jammeh ayakubali matokeo na aachie uongozi?
Napingana na Buhari. ..Buhari hana haki ya kumnyooshea kidole Jammeh ,Buhari hana haki ya kupeleka warships,Aircraft's Gambia
Tupinge na kukataa unafki wa Buhari
Totally logic.. africa will develop only if get rid of hypocrisyNimesikitishwa sana na maamuzi ya Mohammadu Buhari Rais wa Nigeria kupeleka meli ya kivita katika pwani ya Gambia na anajiandaa kupeleka ndege za kivita Gambia kumuondoa incumbent Strong leader Professor Dr Yahya Jemus Junkung Jammeh
Mohammadu Buhari hana haki hiyo na ni unafki uliokithiri kukubali matendo anayoyafanya Buhari ..ninapinga kwa 100%
mwaka 1966 LT.Mohammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani na kumuua Gen.Aguinyi Ironsi
Mwaka 1975 LT Colonel Muhammadu Buhari alishiriki katika mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Yakubu Gowon
Mwaka 1983 Major General Mohammadu Buhari alikuwa kiongozi aliyeendesha mapinduzi ya kuiondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia ya Rais Shehu Shagari na kushika hatamu,lakini mwaka 1985 Gen.Ibrahim Babangida alimpindua Buhari
Mwaka 2007 Muhammadu Buhari aligombea urais na kushindwa lakini aliyakataa matokeo na kukata rufaa.
Iweje mtu kama Buhari ndio aongoze mazungumzo ya kumshawishi Jammeh ayakubali matokeo na aachie uongozi?
Napingana na Buhari. ..Buhari hana haki ya kumnyooshea kidole Jammeh ,Buhari hana haki ya kupeleka warships,Aircraft's Gambia
Tupinge na kukataa unafki wa Buhari
Wahangah hapo ni nani? Demokrasia inapelekwa na majeshi ya uvamizi?