Mohammad is top name for baby boys in England

Mohammad is top name for baby boys in England

Status
Not open for further replies.
... JESUS..! is the top name,duniani,mbinguni,kuzimu na kilakona. Likitajwa jina hilo dunia inataharuki. "na kila goti litapigwa mbele zake"...

Nani ana taharuki? Watu wanapiga magoti na kulawiti watoto huku wakiwa wametundika misalaba yenye jina hilo kwenye shingo zao. Sio goti la unyenyekevu ni goti la kulawiti
 
wazazi wa hao watoto wote ni wahamiaji kutoka middle east ,north afrika na eastern afrika hasa somalia na hao ndio wanaozaana sana wana rapid population growth kwa sababu uzazi wa mpango hauzingatiwi kwao kutokana na imani yao.wazungu hawazai sana ,nchi nyingi za ulaya wana kitu kinaitwa ageing population sasa yaani wazee ndio wengi kuliko watoto kwa sababu wengi hawapendi kuzaa na kulea watoto ndio maana kwa wale wanaozaa wanapewa bonus na serikali zao ili kuwavutia wazae kwa sababu wanazidi kupungua,kwa hiyo wageni ndio wanazaana sana ndio maana ya hilo jina linaongoza kwani ni muhammadans.
 
Nani ana taharuki? Watu wanapiga magoti na kulawiti watoto huku wakiwa wametundika misalaba yenye jina hilo kwenye shingo zao. Sio goti la unyenyekevu ni goti la kulawiti

Sio kila msalaba ni Yesu,msalaba ulikuwepo kabla ya Yesu duniani,ulitumiwa na warumi kuwatesa watu waliopinga utawala wao,roman empire,na ndio waabudu shetani wengi wanatumia broken msalaba,ishara ya ukristo duniani ni fish.
 
lakini pia mi naona hizi ni dalili za mwisho wa dunia kwa sababu Yesu anasema dalili za mwisho ni pamoja na kuongezeka kwa maasi kama ushoga,uzinzi, ugaidi na imani,za ajabu ajabu kama freemason,illuminati na hiyo imani inayoongoza kwa ugaidi na bado itaenea sana kwani haiwapeleki watu mbinguni kwani njia ya mbinguni ni nyembamba ko ukiona dini ina waumini wengi ujue hiyo inawapeleka watu jehanam sio sifa.
 
wazazi wa hao watoto wote ni wahamiaji kutoka middle east ,north afrika na eastern afrika hasa somalia na hao ndio wanaozaana sana wana rapid population growth kwa sababu uzazi wa mpango hauzingatiwi kwao kutokana na imani yao.wazungu hawazai sana ,nchi nyingi za ulaya wana kitu kinaitwa ageing population sasa yaani wazee ndio wengi kuliko watoto kwa sababu wengi hawapendi kuzaa na kulea watoto ndio maana kwa wale wanaozaa wanapewa bonus na serikali zao ili kuwavutia wazae kwa sababu wanazidi kupungua,kwa hiyo wageni ndio wanazaana sana ndio maana ya hilo jina linaongoza kwani ni muhammadans.

Uislamu unaongezeka kwa njia kuu tatu,kuzaana,jihad,na mihazara ya kukashifu dini zingine
 
mmeshaanza kupigia promo dini yenu sasa tupate notion gan kwenye hii thread
 
Mohammad ni jina la kiarabu na halina uhusiano na uislam, lilikuwepo hata kabla ya huyo mwasisi wa uislam, tatizo waislam wameshindwa kutofautisha uislam na utamaduni wa kiarabu, wanadai hata kuvaa kanzu ni sunna kwenye uislam wakati wenzao wanavaa hivo kwa sababu za kijografia.
Cc:
@Khaatan FaizaFoxy
Kila goti litapigwa
 
Last edited by a moderator:
Mohammad ni jina la kiarabu na halina uhusiano na uislam, lilikuwepo hata kabla ya huyo mwasisi wa uislam, tatizo waislam wameshindwa kutofautisha uislam na utamaduni wa kiarabu, wanadai hata kuvaa kanzu ni sunna kwenye uislam wakati wenzao wanavaa hivo kwa sababu za kijografia.
Cc:
@Khaatan FaizaFoxy

Ewe punguani, hawa nao ni Jiografia inayowafanya wavae kanzu?

 
Mohammad ni jina la kiarabu na halina uhusiano na uislam, lilikuwepo hata kabla ya huyo mwasisi wa uislam, tatizo waislam wameshindwa kutofautisha uislam na utamaduni wa kiarabu, wanadai hata kuvaa kanzu ni sunna kwenye uislam wakati wenzao wanavaa hivo kwa sababu za kijografia.
Cc:
@Khaatan FaizaFoxy

Acha UONGO!! Muhammad alikua ni binadamu wa kwanza kuitwa jina hilo, hajawahi kutokea binadamu anajina Muhammad kabla yake
 
Last edited by a moderator:
lakini pia mi naona hizi ni dalili za mwisho wa dunia kwa sababu Yesu anasema dalili za mwisho ni pamoja na kuongezeka kwa maasi kama ushoga,uzinzi, ugaidi na imani,za ajabu ajabu kama freemason,illuminati na hiyo imani inayoongoza kwa ugaidi na bado itaenea sana kwani haiwapeleki watu mbinguni kwani njia ya mbinguni ni nyembamba ko ukiona dini ina waumini wengi ujue hiyo inawapeleka watu jehanam sio sifa.

Jipe matumaini....
.
 
Mkuu siku ingine utoe mada zenye kujenga na si zenye kuamsha tofauti za wa tz
Na wac wac km kwel umezaliwa nchi ambayo JK Nyerere ndo presidnt wa kwz
 
Ama nyie mliechangia uzi huu ni watu waajabu sana..!
Majina yote ya mitume na maNabii tunayatumia sisi wenye kujitambulisha. Sasa ya nini matusi,kebehi, na kuchafua hewa ?
Just THINK BIG.
 
Another religions battle, moderators mko wapi, au bado mnakula weekend? Tutoleeni huu uzi hapa.
Hatutaki mihadhara ya kidini hapa jamvini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom