Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
sio vibaya kuwa na squad kubwa kuna majeruhi baadae na ukizingatia boka upatikanaji wake sio wa uhakika, kibabage kiwango chake sio cha kumtegemea sana, mm nawaelewa yanga kumsaji mo husssein, ni kama israh mwenda ilivokuwa kuna watu walimkataa mwenda bila kuangalia uwezo wake kwenye eneo analo cheza af saiv kawaprove wrongSasa hiyo ndio sababu? Hata kwenye darasa la mbumbumbu lazima kutakuwa na number one ila kwa mambumbu. Shabalala wa kawaida,age imeenda hatufai ila kama wameamua wao viongozi sawa hamna jinsi.