Jiwe Linaloishi huyo jamaa alitembea na mke wa mtu kwa maana ile iliyojificha sio ya kutoka Airport mpaka kona ya Bwiru unayojua wewehahahaha kwani kutembea nae tu ni kosa ua alimgonga kabisa...? au ndio ule usemi paka na paka na samaki hawakai tenga moja?
Ndo maana Erickb52 kakimbia mwanza hawezi kurudi Arushaone hebu mwambie Erickb52 ajitokeze bana tushamaliza soo lake
Last edited by a moderator: