upupu255
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 341
- 476
Umati wa wananchi wa Kata ya Kivule wa Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi kupata matibabu ya macho na kupimwa magonjwa ya wanawake bure, kisha kutoa ombi kwa taasisi zenye uwezo kuwa na utamaduni wa kutoa huduma za afya kwa wananchi wasio kuwa na uwezo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ushauri huo umetolewa na wananchi waliofika siku ya kwanza kupima na kupatiwa matibabu ya macho na Taasisi ya Modewji Foundation, katika hospitali hii ya Wilaya ya Ilala ya Kivule.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ushauri huo umetolewa na wananchi waliofika siku ya kwanza kupima na kupatiwa matibabu ya macho na Taasisi ya Modewji Foundation, katika hospitali hii ya Wilaya ya Ilala ya Kivule.