Modestus Kapilimba Former DGIS na (IT) ndiye aliunganisha NIDA, NEC na CCM?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Mwaka 2015 alikuwa mfanyakazi BOT Alitolewa BOT kwa taarifa kwamba anaende likizo.

Mwaka huo huo 2015 akaibukia NEC akafanya aliyoyafanya.

Baada tu ya Magufuli kuingia Ikulu aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa NIDA.

Badae akateuliwa kuwa mkurugenzi wa TISS.

Mpaka anaondoka TISS ilikuwa mshike mshike mpaka aliwekwa house of arrest.

Kabla ya kuteuliwa kuwa balozi wa TANZANIA nchini Namibia!!

Je ndiye alikuwa nyuma ya kuunganishwa kwa CCM,NIDA na NEC?
 
Du sawa
 
Jamaa kwenye development, waliacha tundu la kufanya mambo ya ziada. Solution kama nichi ina dhamira ya haki na usawa, sasa ni ku shift na kufanya development kwa kutumia Blockchain technology ( voting system) hiyo ni komesha na funga kazi . no tempering hapo 😎
 
Vile vyama vya kulinda Kura hahaaha wataendelea kulinda kura? Wajinga wakubwa wale
Kwa kweli ni WAPUMBAVU SANA..Hawataki mabadiriko ya maana , ukweli na wazi, wameungana na ccm .. sasa tuone, hizo kura , watazilindaje? Doria mtandaoni au ? Polepole kasema kwamba kwamba mifumo iko connected na inasomana na ccm.. halafu hawa MBURURA WA ACT na CHAUMMA wanasema watalinda..ni sawa na kuziba tundu la panya kwa vipande vya mikate au mishikaki... akili kiduchu, watatoboa kweli au ni kulamba garasa tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…