Modern Thieves

Modern Thieves

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
WANAJESHI WA KIMAREKANI WANAIBA DHAHABU YA IRAKI WANAONDOKA NAYO AMERIKA.

303462_534212846617030_798973683_n.jpg
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.
 
Huko umeenda mbali mno. Nenda Bulyanhulu, North Mara, Buzwagi....Geita ndo nasikia wameshaanua. Wameichimba kwa spidi hata kipindi kilichokadiriwa kuwa itaisha hakikufika.
 
toka lini iraq kukawa na dhahabu jamani, hiyo ni dhahabu ya sehemu nyingine tu na ingekuwa kweli wamarekani wamechukua zahabu huko wasingeruhusu hata picha tu kupigwa....iraq na waarabu wote huko yamajaa mafuta tu hakuna hata dhahabu ya kusingiziwa, acheni kuumiza vichwa.

Ww watu wanatunza dhahabu kama asset na sio lazima mue na machimbo akili za kukariri hizi
 
Back
Top Bottom