3squere JF-Expert Member Joined Aug 2, 2011 Posts 925 Reaction score 181 Jan 11, 2012 #1 Voda wana aina mbili za modem moja wanauza 25000 na nyingine ni 35000 Ni nn utofauti wake. Nataka kununua watalam naomba ushauri wenu
Voda wana aina mbili za modem moja wanauza 25000 na nyingine ni 35000 Ni nn utofauti wake. Nataka kununua watalam naomba ushauri wenu
J JACADUOGO2. JF-Expert Member Joined Dec 13, 2010 Posts 930 Reaction score 220 Jan 11, 2012 #2 Hapa ni "JUKWAA LA SIASA!"
tikatika JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 2,330 Reaction score 4,123 Jan 11, 2012 #3 speed man
P Paul S.S JF-Expert Member Joined Aug 27, 2009 Posts 6,411 Reaction score 3,280 Jan 11, 2012 #4 Nasikia moja unaweza kuitumia kama card reader, yaani inasehemu ya kuingiza memory card wakati nyingine haina. Tafiti utajua
Nasikia moja unaweza kuitumia kama card reader, yaani inasehemu ya kuingiza memory card wakati nyingine haina. Tafiti utajua