3squere JF-Expert Member Aug 2, 2011 925 181 Jan 11, 2012 #1 Voda wana aina mbili za modem moja wanauza 25000 na nyingine ni 35000 Ni nn utofauti wake. Nataka kununua watalam naomba ushauri wenu
Voda wana aina mbili za modem moja wanauza 25000 na nyingine ni 35000 Ni nn utofauti wake. Nataka kununua watalam naomba ushauri wenu
P Paul S.S JF-Expert Member Aug 27, 2009 6,402 3,242 Jan 11, 2012 #4 Nasikia moja unaweza kuitumia kama card reader, yaani inasehemu ya kuingiza memory card wakati nyingine haina. Tafiti utajua
Nasikia moja unaweza kuitumia kama card reader, yaani inasehemu ya kuingiza memory card wakati nyingine haina. Tafiti utajua