Modem yangu yanisumbua

Modem yangu yanisumbua

Kitabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
313
Reaction score
29
Wakuu Nina modem ya vodafone,tokea jana,umekuwa kero!!unakuta signal zipo,ila inaniandikia the page has not been found.Sijui kama naeleweka hapa.Tafadhali munisaidie
 
ni websites na web pages zote au ni moja tu. pia ni browser gani unaitumia? pia cheki salio, firewall settings kwenye antivirus unayotumia na kwenye OS yako. Jaribu pia ku reload page au ku restart computer.
 
voda inatabia hiyo disconect halafu conect tena baada ya ku conect andalia download speed ya dashboad inatembea? maranyingi inapenda kuwa zero inatembea upload pekeyake ikiwa hivyo chomoa chomeka tena au restat computer kama tatizo linaendelea badili dashboad software
 
ni websites na web pages zote au ni moja tu. pia ni browser gani unaitumia? pia cheki salio, firewall settings kwenye antivirus unayotumia na kwenye OS yako. Jaribu pia ku reload page au ku restart computer.
<br />
<br />
Nashukuru sana mkuu,kwa sasa ipo safi.Natumia browser ya google chrome.
 
voda inatabia hiyo disconect halafu conect tena baada ya ku conect andalia download speed ya dashboad inatembea? maranyingi inapenda kuwa zero inatembea upload pekeyake ikiwa hivyo chomoa chomeka tena au restat computer kama tatizo linaendelea badili dashboad software
<br />
<br />
Nashukuru sana,kwa sasa nipo hewani kama kawa....!!!
 
Kuna ishu inaitwa DFS hii ni software ya kuunlock model vipi mmewaitumia? mnisaidie JF
 
Back
Top Bottom