tumia PD-proxy free kwa 100mb daily achana na kununua bandle
tambua hizi moderem za ZANTEL hazichakachuliki
tafuta uzi humu kutoka kwa mkubwa E2themiza
Hebu tupe somo vizuri coz wamepandisha bei bandel ya elfu 10 sasa imekuwa elfu 15 mb750.
nashkuru kwa re-direct mkuu, be blassedtumia PD-proxy free kwa 100mb daily achana na kununua bandle
tambua hizi moderem za ZANTEL hazichakachuliki
tafuta uzi humu kutoka kwa mkubwa E2themiza
rejeo?i hate cccm