Kwa msaada wa fasta....
Nambie Huawei E3131 Hapa bongo umeziona wapi maana mm nilitumiwa from UK ila sipend za kampuni ya Hi link
Huawei E3131 inayo HSPA+ yaani Download link yake inaenda mpaja 21.6Mbps na uplink yake ni 5.6Mbps
Pia hii inatundu la Antenna ambayo kama eneo lako linasua sua network utaitumia lkn bei ya antenna ni tofauti na modem
Huawei E303 ni ya kawaida sana HSDPA yake ni 7.6Mbps wakati HSUPA yake ni 5.6Mbps
THEREFORE..E3131 is 3 times faster ktk kudownload kuliko e303
So to say kwa heavy Downloaders kama mm ambaye nataka kipindi nadownload nipate 1-3MB/s na kwa mwezi napakua 500GB lazima nitumie huawei E3131
Lkn wewe kama wewe ni light internet user yaani jf..tweets...fb...forums...blogs...google...kudownload mafile ya 20-50MB.. usiharibu hela(sikushiki mfukoni) kununua e3131
Maana hautoona tofauti na hii E303
Iseme model ni google nione speed yake...lkn navyojua watakuwa wanasifia kisa ni universal lkn modem zinazouzwa bongo zote hazizidi download speed ya 7.2Mbps isipokuwa za smule zinazofikisha 100Mbps mm nimezunguka maduka yote ya Posta mpja kkoo hamna nilipoona modem ya 14Mbps au 21Mbps
Asante kaka nimekupata ngoja takapo nyumbani taicheki model halafu takutaalifu Lakini pia Samahani kidogo kwa usumbufu nilikuwa naomba msaada wako jinsi ya kuapgred Samsung galaxy NOT2 pia kwa yeyote yule mwana jf naomba msaada wake
Asante kaka nimekupata ngoja takapo nyumbani taicheki model halafu takutaalifu Lakini pia Samahani kidogo kwa usumbufu nilikuwa naomba msaada wako jinsi ya kuapgred Samsung galaxy NOT2 pia kwa yeyote yule mwana jf naomba msaada wake
Kuhusu mambo ya Android phone kwa msaada wa fasta na uhakika ingia thread zinazohusu simu muquote jamaa anaitwa Chief-mkwawa huyo atakusaidia hakikisha unamtag au kumquote ili ajue