Mobile Phone Numbers Generator - Marketing & Data Sampling tool

Mobile Phone Numbers Generator - Marketing & Data Sampling tool

Ambaye anahisi mtu anaweza tengeneza software ya kugenerate voucher anajidanganya.
Kuna random na pseudo random, kwenye computer numbers zinakua generated pseudo randomly, yaani ukiwa na seed unaweza generate random number katika sequence ileile, so sio true random. Lakini zipo crypto algorithms za kugenerate random numbers ambazo ni very efficient at randomizing stuff, na hizo ndiyo wanatumia kwenye vitu kama voucher, generated numbers zipo very random hakuna kitu kama having the same seed ukapata same numbers.
Sasa kama unahisi utapata algorithm itakayogenerate vocha endelea kuota.
 
Ambaye anahisi mtu anaweza tengeneza software ya kugenerate voucher anajidanganya.
Kuna random na pseudo random, kwenye computer numbers zinakua generated pseudo randomly, yaani ukiwa na seed unaweza generate random number katika sequence ileile, so sio true random. Lakini zipo crypto algorithms za kugenerate random numbers ambazo ni very efficient at randomizing stuff, na hizo ndiyo wanatumia kwenye vitu kama voucher, generated numbers zipo very random hakuna kitu kama having the same seed ukapata same numbers.
Sasa kama unahisi utapata algorithm itakayogenerate vocha endelea kuota.
mbona zipo Kwa kutumia imei. tena ujue hao wanaouza vocha na vifurushi visivyo rasmi wanacheza na imei tu
 
mbona zipo Kwa kutumia imei. tena ujue hao wanaouza vocha na vifurushi visivyo rasmi wanacheza na imei tu

Huo ni uongo. IMEI ni unique identification number tu ya hardware, hakuna relationship yoyote ile na voucher za simu.
Vifurushi mfano vya chuo kama wanafanya identification kwa IMEI au MAC address then labda mtu anaweza chakachua, ila kama wanatumia phone number as a way of authenticating then haiwezekani.

Hiyo njia unayosema kuchakachua voucher kwa IMEI haiwezekani, kama ni mbishi nionyeshe nikupe 5million tzs, kwa kua sipendi kutoa identity yangu register bitcoin paper address nikutumie 0.5 bitcoins, ukiprove ni kweli. Record hata video uniwekee youtube unitumie link hapa au pm.
 
Huo ni uongo. IMEI ni unique identification number tu ya hardware, hakuna relationship yoyote ile na voucher za simu.
Vifurushi mfano vya chuo kama wanafanya identification kwa IMEI au MAC address then labda mtu anaweza chakachua, ila kama wanatumia phone number as a way of authenticating then haiwezekani.

Hiyo njia unayosema kuchakachua voucher kwa IMEI haiwezekani, kama ni mbishi nionyeshe nikupe 5million tzs, kwa kua sipendi kutoa identity yangu register bitcoin paper address nikutumie 0.5 bitcoins, ukiprove ni kweli. Record hata video uniwekee youtube unitumie link hapa au pm.
Hapa kinapokuwa kimetokea ni kwamba series fulan ya imei wanakuwa wamei tenga.. Then wana activate kwenye system zile Series lets say iwe na bundle ya 5Gb kwa this amount... Au free internet kwa muda flan..so ukichukua line ukaweka unaactive kwa code ambazo wao wanakuwa wameset, Ndo hapo unasikia ukinunua simu ya tigo unapata 3Gb kwa miezi 6..au zaid..sababu zile imei zikakuwa zimetengwa.. We hata kama una iyo code for activation lakin imei yako haipo kwenye iyo list yao huwez pata iyo offer zao!!.
 
Huo ni uongo. IMEI ni unique identification number tu ya hardware, hakuna relationship yoyote ile na voucher za simu.
Vifurushi mfano vya chuo kama wanafanya identification kwa IMEI au MAC address then labda mtu anaweza chakachua, ila kama wanatumia phone number as a way of authenticating then haiwezekani.

Hiyo njia unayosema kuchakachua voucher kwa IMEI haiwezekani, kama ni mbishi nionyeshe nikupe 5million tzs, kwa kua sipendi kutoa identity yangu register bitcoin paper address nikutumie 0.5 bitcoins, ukiprove ni kweli. Record hata video uniwekee youtube unitumie link hapa au pm.
mkuu unajua mtk engine mode
 
Hahah kumbe kuna mwana anajiita hivo..? nina nicks nyingi sana, inabidi nianze kufilter sahv ambazo zinatumika niziache. Ila natumia x0rsec, x0rz niliipa kama kifupi chake tu. Sio mbaya pia. 😉
Okay, nimekusoma. Jamaa ni popular sana kwenye infosec community, hasa twitter, with 79,000+ followers.
 
Back
Top Bottom